ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
si ndio hapo sasa. Anataka kujinyonga kwenye tawi la mchicha tena na big g.
tehetehe.... hii sasa! kali
si ndio hapo sasa. Anataka kujinyonga kwenye tawi la mchicha tena na big g.
Ndo wale wale anakunywa sumu baadae anatoa hela ya maziwa:smile-big::smile-big::smile-big:
Nilijuwa siku itafika sikujuwa ingekuwa haraka hivi,asante Liz.Sasa sikiliza nikwambie!Humu kuna warembo wakuotea mbali mi siwafikii hata kwa robo ya robo..kajina kangu tu kadogo..Senksi zangu za kuhesabu(senksi ni sawa na kukonyezwa..kusifiwa..na kuimbiwa kitaa)..Avatar ya kuazima kwa pacha wangu..maneno ya kukopi!Embu achana na mimi tafuta mtu wa ukweli..mwenye najua mimi sio saizi yako matokeo yake ni smol haus baadae!Du it fo mi kama unanipenda kweli!Wako daima Lizzy Uporoto !
Nilijuwa siku itafika sikujuwa ingekuwa haraka hivi,asante Liz.
lizzzy mwenzio hakuli kwa ajili yako
mpe nafasi
Yes lizzy i love you too. Gbollin noma kakufungulia thread nyingine kule nafasi za kazi mwaka huu unalo mamii hahaha!We acha uchakachuaji!!!Ngoja mchungaji aone!!!:A S 39:
Hhahahah,....ngoja nikaone!!!!Alafu mmmmmm.....unanipenda pia kwani mi nakupenda?:A S 39:Yes lizzy i love you too. Gbollin noma kakufungulia thread nyingine kule nafasi za kazi mwaka huu unalo mamii hahaha!