Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Nikiwa na huzuni tele kwa kukatariwa ombi langu na LIZZYMIND "Lizzy" sasa nipo kwenye tawi la mti na kamba yangu shingoni tayari kwa kujiua, ila kabla sijajiua nawaomba mkamwambie Lizzy maneno yafuatayo. Firstlandy:- mwambie Lizzy nampenda sana, Rose1980:- mwambie Lizzy sikuli kwaajili yake, Pearl:- mwambie Lizzy nimemkuta REV bar na nyumba ndogo, Shosti:- mwambie Lizzy nitampa pasword yangu ya JF kuonyesha kuwa nampenda. Husninyo kasikilize Lizzy atakwambia nini kabla sijajitundika. Ni mimi nikupendae!!?