Waraka kwa Mstahiki Meya Boniface Jacob

Waraka kwa Mstahiki Meya Boniface Jacob

Makonda hamuwezi mstahiki Meya wa Kinondoni hata akileta figisufigisu kwa kutaka kukwamisha juhudi zake za kuwasaidia wakazi wa DSM..Meya aachwe apige kazi awatumikie wananchi wenye uchu wa maendeleo
Mimi naishi Bagamoyo, lakini nitachangia kwa maendeleo ya watu wa Kinondoni
 
DUU TRUMP UPO SAHIHI KWAMBA WAAFRIKA NI NUSU MTU yaani mtu anabana pua etiii mniombee kaombewe na hawala yako
 
Viongozi wetu hakuna tofauti na mazombie yanayokula nyama za watu...Mimi nipo tayari kuchangia na kuwa shawishi rafiki zangu waliopo nje ya kinondoni kuchangia. Usikute hapa wanajipanga na mikakati ya kutoa vitisho vya kukwamisha hii Juhudi hakiya ya bodo **
 
nilipoisoma taarifa ya mstahiki meya, ama Kwa hakika nilipatwa na huzuni Sana. Kaka Sam, Mimi pia Niko tayari kuchangia. Huu mradi utatoa fulsa nyingi Tu za ajila Kwa ndugu zetu.
 
Hata mie nimeguswa pia niko tayari kuchangia ili kufanikisha mradi huu.
 
Mimi sio mkazi wa kinondoni, ila nitachangia hata mara kumi ikibidi, ili mradi mambo yaende sawa.
 
Ntakamulenga sio majina ya kitanzania, ndio maana ata yule mungine alitenguliwa Udc, sababu uraia una mashaka.. Ni wahamiaji hawa
 
Back
Top Bottom