brown green
Member
- Jul 31, 2015
- 35
- 34
Ni mt asiye na ufahamu wa kutosha pekee ndiye anayeweza kuhoji Lowasa anapata wapi fedha za kampeni.
Mtu ambaye kichwa chake kinawalakini asiyeweza kuelewa kwamba Lowasa ni mgombea wa Institution ambayo ina funds kwa ajli ya kampeni ya mgombea wao. Halafu asihoji mtu binafsi anayekula mihogo na kuuz amkaa anapata wapi fedha za kuishi Serena hotel, kwenda SA kwa mapumziko na kulipia press conference ya vyombo vyote vya habari nchini kwa masaa matatu.
Ninaanza kupata picha ni kwanini Dr. Slaa amewaita ccm ni choo cha mavi.
Tumia akili yako vizuri, jipange na uache kutuonyesha namna umechanganyikiwa.
Tarehe 25 October, tutaheshimiana tu!.
Hamy-D
Nasikia eti hao tunaowaruhusu ndiyo wenye Epa, Kagoda, Twiga, Escrow, Madawa ya kule vya na kazalika. Hapo unasemaje?
Unahitaji kupanua uelewa wako. Hakuna msemaji duniani kote wa ukwei anayeweza kuchukua ka piece kadogo ka imformation kwenye agenda akaficha ukwei wote halafu wenye akili timamu kama yeye walazimishe watu kuitikia eti kaeleweka.
Lazima uwe na matatizo makubwa kwenye kichwa na dhamira yako. Period!.
Unajua neno maudhui ni nini? Thesis yake haikua kusema ccm ni waovu au kuonyesha uchafu japo kawafananisha na choo ,bali ilikua ni kusema kwa nini ameamua kuacha siasa za vyama na kuambatanisha ubaya wa yule aliyesababisha aache hizo siasa na hapa ukweli wake unaigusa cdm, ukawa na lowassa na siyo ccm kwa.maudhui.hayo
. Kama ni msomi na siyo mvivu utaelewa kama umeazima akili kwa muda hutoweza kuelewa.
Tatizo ushabiki unakufanya ulazimishe ulichotaka kusikia.wewe kwa sababu ukweli ule japo ni mfupi hujaupenda.
Jipange tena kabla hujazungumzia uwezo na upeo wangu kifikra
Kuna mtuhumiwa yeyote wa escrow, EPA, etc etc, anagombania urais wa jamhuri?
wanao msema EL nimafisi wa ahadi walio kataa kuokoka,EL kaisha okoka katubu dhambi zake na kusamehewa.Mahakama ya mafisadi je ni kwa ajiri ya lowasa tu ? Kama wapo wengine mbona hawasemwi kama lowasa?.
Msimamo gani alionao Dr slaa? wakuhama CCM Mwaka 1995 baada ya jina lake KUKATWA?Naona baada ya Slaa kuwaeleza Watanzania ukweli vizuri, Team Lowasa wamekuja kwa nguvu nyingi hapa jamvini kujaribu kuokoa jahazi.
Kuna ushahidi Lowasa ni fisadi. Bila huo ushahidi wala hangejiuzulu Uwaziri Mkuu. Na anashirikiana na mafisadi papa ambao wanatumia rushwa na hongo kwenye kampeni zake. Hatutaki kutoa mafisadi kwa kutumia mafisadi na kuendelea kutawaliwa na mafisadi.
Nampa hongera sana Dr Slaa kwa kuwa na msimamo thabiti. Watu wa aina yake ndiyo wanatakiwa watawale Tanzania. Mwanzoni tulidhani washirika wake kama Lissu na Mnyika ni watu wenye msimamo pia, but now we know better. They caved in at the slightest indication that they could be co-opted into the ruling oligarchy. Shame on them. They have sold out!
Naunga mkono hoja
Mwenye ESCROW ndiyo anayeachia MADARAKA.Na je yule aliyelipa Makandarasi hewa bilioni 258?Amenunua Meli ya 1978 kwa bilioni 8,Barabara zote ni sub standard?Mvua moja hakuna barabara.Huyu wa mabehewa hewa naye???Na muuzaji wa nyumba za serikali na nyingine kugawa kwa mahawara ,je huyu hagombei urais??Au anagombea nafasi ya Uwaziri wa Ujenzi???
Hatuwezi kulilia Tanzania MPYA, SAFI na iliyokombolewa ikiwa tutaruhusu FISADI papa kukaa kwenye jumba letu la state house.
Hivyo basi, kama tunahitaji mema kwa nchi yetu, chaguo la pekee ni Magufuli tu.