jaruri
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 717
- 459
Nitumie fursa hii kukumbusha machache,,
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.
PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi
TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,
MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa
Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana
Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?
Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?
Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??
In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,
,,0712207633 Mzalendo Halisi,,Tanzania kwanza,,
LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.
PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi
TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,
MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa
Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana
Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?
Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?
Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??
In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,
,,0712207633 Mzalendo Halisi,,Tanzania kwanza,,
LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU