Wapwaaz leo tukutane na kunywa pombe?

Hahaaa! Aiseee! Mi nawapenda aisee, halafu nawatamani aisee,
Aisee mi nipo nanyi kiroho aisee. Leo mimi nimekatazwa kunywa pombe aisee. Nimeambiwa nisevu hela ya bia na supu ili ninunue sukari.

The Following User Says Thank You to Bigirita For This Useful Post:
Lizzy (Today)​
 
Aiseee! Hii inanisikitisha sana, tena sana. Yani bado umekaa hapo internet cafe jenereta linakupigia kelele wewe umo tu badala ya kuwahi pare pare...weweweweee......
nashangaa we babu digi c uwahi maeneo unafanya nini huku? Big mzima babu sijakuona cku mingi asee mic u
 
dearest hapo juu 2mebaguliwa hatumo unaonaje na sisi 2kikutana kifyetu fyetu uku maana....,

....yes yes, si ndio nikakwambia unipe ramani...aaafu we maty wewe ujue wewe, unajifanya huoni eeeh, embu thema bathi....wapi thatha? (pale pale pa thiku thote)?
athi nimekuulidha pale juu hujajibu bana?

...Hii hapo chini umeiona?......

The Following User Says Thank You to Maty For This Useful Post:

Next Level (Today)​
 
Teamo.......sikujua kama huwa unafuatilia maswala muhimu kama haya mazee................da inauma sana!!
Hivi hili suala la bwawa la mtera kuisha sijui kupungua maji si nilianza kulisikia tangu nasoma??? Hakuna uwezekano wa kufanya utaratibu wa namna ya kukabiliana na emergencies hasa katika hili??.........dah inauma sana

Ninamshauri Supika wa Bunge atoe idhini ya kupunguza posho ya Bunge (Wangeahirisha tu maana hakuna walifanyalo) na gharama zake zikapelekwa katika kufidia uzalishaji wa taifa unaoshuka kwa ukosefu wa umeme.

Dayyyyyyyyyyyyyyyym ....kumbe niko MMU bana.....

KARIBA wamefungulia mana maji yamekua mengi kupita kiwango! Uku ?
 
Back
Top Bottom