wapwaaz nimewamiss sana aisee.....!
mi naona TUKUTANE TU NA KUNYWA POMBE!(mavodka,valuu,viceroy,grants n.k)
mi naona inafaa zaidi
kwanin inafaa zaidi?
-inauma sana kuangalia BUNGE LA KITOTO kama la tanzania
-inauma sana kuangalia ''command theories'' za mh spika
-inauma sana unapowapigia watu kura wao wanaenda mjengoni kufundishana ''kufuta/kurekebisha kauli zao)
-inauma sana lala giza kila siku wakati watu wanaingiza siku kwa posho nono
-inauma sana aisee inauma kuona bwawa la mtera linapongua maji kwa kina cha sm 3 kila siku
-inauma sana kulala giza ariff.....!inauma sana aisee!
-inauma sana kuziangalia inflations za ajabu ajabu(sukari kilo sh 2100,mafuta ya kula lita tano sh 18900/=)
WAPWAZ TUKUTANE TU TUNYWE POMBE wakati tunausubiria umeme
aisee arriff gy,rose1980,asprin,bigirita,synnovate,mwenyeji,finest,st rr,askofu,firstlady,mwanajamiione,pakajimmy,wiselady,fidel80,kizuri,js,ld,kimeywaukwey,mariaroza,baba_enock,dena amsi aisee tukutane aisee....!aisee de novriiino iko wapi arrif aisee?!
PARE PARE
kuna kitu kina miss hapa....Bia itafanya bungeni waache utoto??:twitch:
Itamfanya spika awe muugwana??:twitch:
Itarudisha kura yako??:twitch:
Italeta mwanga??Itawanyang'anya mafisadi posho???:twitch:Actually utakua unawaongezea kama wana share kwenye makampuni!
Itaongeza maji kwenye bwawa???:twitch:Twendeni na ndoo tukarudishie yanayopungua!
Itawasha chemli...kibatari au umeme???:twitch:
Itasawazisha bei za ajabu ajabu???:twitch:
Unachotaka ni kujisahaulisha maumivu ambayo hayawezi kupotea kwa masaa machache tu.Alafu unajiongezea mengine kwasababu ukizidisha kunywa mfuko wako nao utakauka......:coffee:
Hapa tunajadili mapenzi na serikali yetu ama nini sijaelewa....
Naomba na mimi kuja, hata mimi inaniuma sana sana...Pliiiz
Msafara wa mamba hata Kenge wamo, naombeni nami nikaribie japo sipo kwenye hilo kundi la wapwa.
Am not coming b'se I hate politics, Am coming because I want ti meet you guyz!
kuna kitu kina miss hapa....
RECCOMENDATIONS
mpwa si tukutane PARE PARE?....!au ni pm namba zako basi