Wapo wapi wanasimba hawa?

Pettymagambo

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2017
Posts
1,520
Reaction score
8,270
Nimewakumbuka sana hawa wanalunyasi, hapa jukwaani walikuwa wanachangamsha kweli hasa kuanzisha nyuzi za mechi za mnyama, lakini tangu ubaya ubwela uanze sijawaona tena! Naomba nijue kama wanachunguliaga humu japo mara mojamoja nitafurahi mno, members hawa ni- Ghazwat mzee wa mwana kulitaka mwana kulipata, pamojana sembo. Naomba tu wareply kama wapo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…