Wapo wapi Shyrose Bhanji & Basilar Mwanukuzi?

Nchi hii itakosa mengi lkn sio manungayembe.
Gharama zao kubwa zaidi uwe na nguvu za kiume, uwe tayari kuoga angalau Mara Saba kwa wiki na utumie pafyumu za Bei mbaya. Hela, nyumba na gari utavikuta.
 
Kweli kabisa. Siku hizi Udc umeshuka Sana hadhi imekuwa sehemu ya fadhila na kupunguza njaa kwa wliotemwa.
Nilikuwa naongea na dada mmoja maarufu akaniuliza," Vipi huna ndugu yako wa kike anahitaji ukuu wa wilaya? Maana nina connection ya kupata hizo nafasi" Hiyo ndo Tanzania yetu
 
Uzi wa kujadili watu badala ya issues! Angalau mjadili events basi badala ya watu.
 
Basila alitemwa kwenye mfumo but she is living her own good life good house, family and driving Toyota FJ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…