Mlitika
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 457
- 260
Hiyo ni kauli ya Mh. Augustano Eliyatonga Mrema wakati akitoa maoni yake kwenye mahojiano na TBC katka Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Hayati Edward Moringe Sokoine. "Wapo viongozi hata wakifa leo hatulii! Tulilie nani? Tunamkumbuka kwa lipi?" Alisema Mh. Eliyatonga.
Sina hakika Mh. Mrema alimaanisha kiongozi gani ambaye akifa hatutalia.
Sina hakika Mh. Mrema alimaanisha kiongozi gani ambaye akifa hatutalia.