Wapo njiani kwenda Europe.

Wapo njiani kwenda Europe.

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
ImageUploadedByJamiiForums1442003536.007386.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1442003551.812133.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1442003576.617359.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1442003589.330165.jpg
 
Vita sio nzuri kabisa. Jana nilikuwa naangalia BBC nikaona wale waliofanikiwa kugota nchi kavu ulaya na kupokelewa wote waume, wake na watoto "Walipiga magoti na kumshukuru Mungu kwa machozi." Niliumia sana ... Niseme tu, Mungu awarehemu, Mungu aturehemu sote.
 
Vita sio nzuri kabisa. Jana nilikuwa naangalia BBC nikaona wale waliofanikiwa kugota nchi kavu ulaya na kupokelewa wote waume, wake na watoto "Walipiga magoti na kumshukuru Mungu kwa machozi." Niliumia sana ... Niseme tu, Mungu awarehemu, Mungu aturehemu sote.

kweli kabisa mkuu ni jambo la huzuni sana....Na juzi rais hasad kawapulizia sumu ya chlorine wananchi wake....watoto wamefariki bila ata kuwa na jeraho...nliangalia mpaka chakula kikagoma kipita....vita sio kitu cha kushadadia ata kidogo
 
Hii yote ni shida kwa kweli. Sasa kitu kibaya, wakifika ulaya wanalazimisha kuanzisha tena yaliyowaletea shida makwao wayahamishie na kule.


Inatia uchungu sana. Mungu awarehemu, awalinde tu wafike na wapokelewe salama.
 
Yaaaan uroho wa madaraka ni mbaya sana. Nchi iko vtan kwa miaka minne jamaa bado anajiita raisi na waliobak anawapulizia gas ya sumu. Labda wakiondoka na kufa wote ndo atafurahi. Kwel huyu ni zaidi ya shetani. Wananch wanateseka balaa.
 
kweli kabisa mkuu ni jambo la huzuni sana....Na juzi rais hasad kawapulizia sumu ya chlorine wananchi wake....watoto wamefariki bila ata kuwa na jeraho...nliangalia mpaka chakula kikagoma kipita....vita sio kitu cha kushadadia ata kidogo

Tuache kuangalia BBC CNN tuwe tunaangalia na RT na press TV
 
Mbona wanahama weng sana! Nchi si itabaki nyeupe
 
Mbona wanaenda mbali huko kote? Ina maana nchi za kiarabu haziwezi kutoa hifadhi kwa waarabu wenzao?
 
Ibilisi umeamuka? Kafie mbali na ushetani wako!. Shenzi firauni wwe mwanaharamu usiyekuwa na moyo!. Pumbavu.

Na kama na wewe uko miongoni mwao wewe nakuombea ufie baharini hata ukifika ufukuzwe. Pumbavu nyamafu!.

Dua ya Mkafiri toka lini ikampata Mwanaadamu anaeabudu Mungu mmoja.?
Nyie watu mna laana kubwa sana.
Maneno yenu machafu, tabia zenu chafu! Yaani laana tupu!

We unaweza kutembea hata na kaka yako basi tu mmalize hamu zenu za kishetani.

Unatoa pole ya kinafiki. Nani anahitaji pole yako Iblis Kuffar km wewe?
Hio pole kalia mwenyewe. Hatuna haja ya wanafiki waliolaaniwa kutoa pole kwa wanaadamu wanaoteseka kwa sababu ya silaha zilizo tengenezwa na Makafiri kama wewe!

Mungu awalaani laana ya milele.

Ameen.
 
Mbona wanaenda mbali huko kote? Ina maana nchi za kiarabu haziwezi kutoa hifadhi kwa waarabu wenzao?

Ungekuwa na Elimu kidogo tu ungeweza kutambua kuwa Kuna wakimbizi zaidi ya Milion 25 kutoka Huko.
Hao waliokwenda Europe hawafiki hata Milion 1.

Lebanon wameingia wakimbizi zaidi ya Milion 3.
Saudi arabia kuna wasyria zaidi ya Laki 5.
UAE kuna Waliokimbia vita zaidi ya milion.
Huko hawaitwi WAKIMBIZI bali wanaitwa wageni walio haribikiwa.

Waislamu sio kama makafiri.
Ukiingia Nyumba ya Muislamu unaitwa Mgeni.
Ukiingia ya Mkafiri unaitwa Mkimbizi.

Tazama japo Tv Utaelimika.
 
Vita sio nzuri kabisa. Jana nilikuwa naangalia BBC nikaona wale waliofanikiwa kugota nchi kavu ulaya na kupokelewa wote waume, wake na watoto "Walipiga magoti na kumshukuru Mungu kwa machozi." Niliumia sana ... Niseme tu, Mungu awarehemu, Mungu aturehemu sote.
You, FaizaFoxy, kahtaan and Isac M like this.
 
Last edited by a moderator:
kweli kabisa mkuu ni jambo la huzuni sana....Na juzi rais hasad kawapulizia sumu ya chlorine wananchi wake....watoto wamefariki bila ata kuwa na jeraho...nliangalia mpaka chakula kikagoma kipita....vita sio kitu cha kushadadia ata kidogo
Mh! Nimeona UN wameingilia kati kuchunguza.
 
Ungekuwa na Elimu kidogo tu ungeweza kutambua kuwa Kuna wakimbizi zaidi ya Milion 25 kutoka Huko.
Hao waliokwenda Europe hawafiki hata Milion 1.

Lebanon wameingia wakimbizi zaidi ya Milion 3.
Saudi arabia kuna wasyria zaidi ya Laki 5.
UAE kuna Waliokimbia vita zaidi ya milion.
Huko hawaitwi WAKIMBIZI bali wanaitwa wageni walio haribikiwa.

Waislamu sio kama makafiri.
Ukiingia Nyumba ya Muislamu unaitwa Mgeni.
Ukiingia ya Mkafiri unaitwa Mkimbizi.

Tazama japo Tv Utaelimika.

Palestina na Iran wameingia wangapi
 
Back
Top Bottom