kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,156
- 11,608
Ok ila punguza jazba na kejeli katika kujenga hoja.
Ukikutwa unagombana na kichaa we ndo utaonekana mjinga.
Ningekuona wa maana sana km ungeanza kumpa ushauri huu huyo muefeso alieanza matusi.
Huyo sio kichaa bali ni pepo mchafu anaehitaji kusafishwa na maji makali.