Wapinzani wanapata wapi ripoti za TISS?

Wapinzani wanapata wapi ripoti za TISS?

Masamila

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2014
Posts
6,505
Reaction score
7,465
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
 
Sasa hata ukifikiria watu wanaoshinda kurekodi wanasiasa wanatashidwa kulikisha report? Ni utamaduni wa kazi na nitakuhakikishia hata viongozi wa serikali hao hao wanarekodiwa na kutatokea siku wataanza kulikisha kwa upinzani wengine hata kwa pesa maana serikali imefanya makosa kuruhusu ku record wameyataka wenyewe
 
Waswahili hunena
"siri ni mali ya mtu mmoja"
Kijana wa kiume ukigongwa haiwezi kuwa siri tena labda umuue aliyekugonga muda huo huo, ila ukipiga punyeto inaweza kuwa siri yako..
Na umri huu sijawahi ona hata ukurasa mmoja wa nyaraka hata moja tu ilioandikwa na TISS
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?


huyo bwana nyepesi kabwe anajifanya mjuaji wa kila kitu teh teh teh
 
Kama sio mwaka jana basi ni mwaka juzi katika kampeni za ubunge katika Jimbo fulani jijini Dar baada ya mbunge kuhamia CCM nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe bwana Saed Kubenea akisema kuna ripoti ya TISS inasema Chadema wangeshinda ule uchaguzi na wanayo hiyo ripoti (wao wapinzani) cha ajabu huo uchaguzi Chadema walishindwa

Leo hii Zitto nae anasema kuna ripoti nyingine ya TISS inasema Magufuli atashindwa uchaguzi , swali ni Je hawa wapinzani wanapataje hizi ripoti sababu TISS wako ofisi ya Rais na ni chombo cha dola ambacho kinafanyia kazi gizani(duniani kote iko hivyo) na haitokei kikafanya kazi open

Wanapataje hizo ripoti? Hawaoni aibu kuwadanganya wananchi danganya toto ?
Hii ripoti waliyonayo wapinzani ni ya Tanzania Interbank Settlement System (TISS)
 
Akili za watz bado sana. Kwani wapinzani sio wananchi wa nchi hii? Tanzania kitu ambacho tunajua sana ni ukitimba, chuki na bureaucracies. Hao unaowataja ni usalama wa taifa.
 
Back
Top Bottom