Wapinzani Wakemea Wanasiasa Wanaotukana Mikutanoni

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Viongozi wa vyama vya siasa wamekemea tabia ya baadhi ya Wanasiasa wanaotumia vibaya fursa ya mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa kutoa lugha za matusi, udhalilishaji na kupandikiza chuki kuhusu Muungano.
Viongozi hao pia wameungana na viongozi wa dini kukemea tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kusimama katika majukwaa ya kisiasa kunadi vyama vya siasa.

Wametoa kauli hiyo Dares Salaam jana katika mkutano wa vyama vya siasa alicandaliwa na Baraza la Vyama vya Siasa nchini. Mwenyekiti wa Taifa wa Chama chaWananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba alisema katika mikutano mwanasiasa anaweza kuwa na hoja zake na akazi-wasilisha bila kupandikiza chuki kuhusu
Muungano.

"Tutumie busara kufanya mikutano, mnataka kurudi tunakotoka? Yule bwana alikuwa akiongea wote kimya sasa mnahi-taji turudi huko?" Alihoji Profesa Lipumba akihimiza wanasiasa waitumie vizuri fursa waliyopewa.
Mwenyekiti wa Taifa wa United Democratic Party (UDP), John Cheyo alisema tangu kuanza tena kwa mikutano ya kisiasa, kuna mambo yanatia wasiwasi zikiwamo

kauli za kutaka kuvunja Muungano. "Sasa tunasikia matusi hadi kiasi cha kudhalilisha kiongozi wa chi na sasa wanaweza kwenda mataifa mengine kushambulia nchi yao, uzalendo uko wapi?

Tunajiuliza tukiendelea hivi tutakuwa na umoja na tutaendelea kuwa na amani tukaona kwanini tusite kikao cha wadau tuzungumze," alisema Cheyo.
Akizungumza kwa niaba ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Florence Lutaiwa alisema viongozi wa
Kidini wana wajibu wa kukemea maovu katika jamii na si kupanda katika majukwaa ya kisiasa.

"Tumeitwa ili viongozi wa dini tuweze kujua mipaka yetu katika siasa lengo letu sio kuchukua dola ila kuelekeza kufanya siasa nzuri. Mano suala la bandari badala ya kujadili kwa hoja sasa kinachoendelea dini imeingizwa," alisema Padri Florence Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kislamu Tanzania, Shehe Musa Kundecha alisema si vizuri viongozi wa dini kuwa mashabiki wa chama fulani cha siasa.
"Asipande katika jukwaa la siasa kuonesha chama gani kinafaa, waepuke ubaguzi na kubagua, lakini alipaswa kukemea, makosa ya kisiasa ni makubwa, viongozi wa kidini wanatakiwa kuangalia hili kwa umakini zaidi," alisema Shehe Kundecha.

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji Moses Matonyah alisema viongozi wa dini wanatakiwa kuwachunga Watanzania wote wanaotoka katika vyama vote vya siasa..

Mchungaji Matonyah alisema sasa kuna tabia ya viongozi wa kisiasa kujitokeza kwenye majukwaa ya kisiasa na hawaja-tumwa kupitia mabaraza.

Akifungua mkutano huo, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi alisema wamefuatilia mwenendo wa siasa nchini, na kuona kuna haja yakuwa na kikao hicho ili kujadili chan gamoto kwenye mikutano ya hadhara.
 
HATUDANGANYIKI!!

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Viongozi wa vyama vya siasa wamekemea tabia ya baadhi ya Wanasiasa wanaotumia vibaya fursa ya mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa kutoa lugha za matusi, udhalilishaji na kupandikiza chuki kuhusu Muungano.
Viongozi hao pia wameungana na viongozi wa dini kukemea tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kusimama katika majukwaa ya kisiasa kunadi vyama vya siasa.

Wametoa kauli hiyo Dares Salaam jana katika mkutano wa vyama vya siasa alicandaliwa na Baraza la Vyama vya Siasa nchini. Mwenyekiti wa Taifa wa Chama chaWananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba alisema katika mikutano mwanasiasa anaweza kuwa na hoja zake na akazi-wasilisha bila kupandikiza chuki kuhusu
Muungano.

"Tutumie busara kufanya mikutano, mnataka kurudi tunakotoka? Yule bwana alikuwa akiongea wote kimya sasa mnahi-taji turudi huko?" Alihoji Profesa Lipumba akihimiza wanasiasa waitumie vizuri fursa waliyopewa.
Mwenyekiti wa Taifa wa United Democratic Party (UDP), John Cheyo alisema tangu kuanza tena kwa mikutano ya kisiasa, kuna mambo yanatia wasiwasi zikiwamo

kauli za kutaka kuvunja Muungano. "Sasa tunasikia matusi hadi kiasi cha kudhalilisha kiongozi wa chi na sasa wanaweza kwenda mataifa mengine kushambulia nchi yao, uzalendo uko wapi?

Tunajiuliza tukiendelea hivi tutakuwa na umoja na tutaendelea kuwa na amani tukaona kwanini tusite kikao cha wadau tuzungumze," alisema Cheyo.
Akizungumza kwa niaba ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Florence Lutaiwa alisema viongozi wa
Kidini wana wajibu wa kukemea maovu katika jamii na si kupanda katika majukwaa ya kisiasa.

"Tumeitwa ili viongozi wa dini tuweze kujua mipaka yetu katika siasa lengo letu sio kuchukua dola ila kuelekeza kufanya siasa nzuri. Mano suala la bandari badala ya kujadili kwa hoja sasa kinachoendelea dini imeingizwa," alisema Padri Florence Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kislamu Tanzania, Shehe Musa Kundecha alisema si vizuri viongozi wa dini kuwa mashabiki wa chama fulani cha siasa.
"Asipande katika jukwaa la siasa kuonesha chama gani kinafaa, waepuke ubaguzi na kubagua, lakini alipaswa kukemea, makosa ya kisiasa ni makubwa, viongozi wa kidini wanatakiwa kuangalia hili kwa umakini zaidi," alisema Shehe Kundecha.

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji Moses Matonyah alisema viongozi wa dini wanatakiwa kuwachunga Watanzania wote wanaotoka katika vyama vote vya siasa..

Mchungaji Matonyah alisema sasa kuna tabia ya viongozi wa kisiasa kujitokeza kwenye majukwaa ya kisiasa na hawaja-tumwa kupitia mabaraza.

Akifungua mkutano huo, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi alisema wamefuatilia mwenendo wa siasa nchini, na kuona kuna haja yakuwa na kikao hicho ili kujadili chan gamoto kwenye mikutano ya hadhara.
Mmeita viongozi wa dini Pro-CCM ili ionekane ni wote wamesema? Kina Alhad Mussa walikuwa wanavaa Sare za CCM Huyo Mutungi alikuwa kalewa? Mbona hakuitisha Mkutano Mabalozi walipovishwa kofia za CCM?
 
Viongozi wa vyama vya siasa wamekemea tabia ya baadhi ya Wanasiasa wanaotumia vibaya fursa ya mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa kutoa lugha za matusi, udhalilishaji na kupandikiza chuki kuhusu Muungano.
Viongozi hao pia wameungana na viongozi wa dini kukemea tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kusimama katika majukwaa ya kisiasa kunadi vyama vya siasa.

Wametoa kauli hiyo Dares Salaam jana katika mkutano wa vyama vya siasa alicandaliwa na Baraza la Vyama vya Siasa nchini. Mwenyekiti wa Taifa wa Chama chaWananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba alisema katika mikutano mwanasiasa anaweza kuwa na hoja zake na akazi-wasilisha bila kupandikiza chuki kuhusu
Muungano.

"Tutumie busara kufanya mikutano, mnataka kurudi tunakotoka? Yule bwana alikuwa akiongea wote kimya sasa mnahi-taji turudi huko?" Alihoji Profesa Lipumba akihimiza wanasiasa waitumie vizuri fursa waliyopewa.
Mwenyekiti wa Taifa wa United Democratic Party (UDP), John Cheyo alisema tangu kuanza tena kwa mikutano ya kisiasa, kuna mambo yanatia wasiwasi zikiwamo

kauli za kutaka kuvunja Muungano. "Sasa tunasikia matusi hadi kiasi cha kudhalilisha kiongozi wa chi na sasa wanaweza kwenda mataifa mengine kushambulia nchi yao, uzalendo uko wapi?

Tunajiuliza tukiendelea hivi tutakuwa na umoja na tutaendelea kuwa na amani tukaona kwanini tusite kikao cha wadau tuzungumze," alisema Cheyo.
Akizungumza kwa niaba ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Florence Lutaiwa alisema viongozi wa
Kidini wana wajibu wa kukemea maovu katika jamii na si kupanda katika majukwaa ya kisiasa.

"Tumeitwa ili viongozi wa dini tuweze kujua mipaka yetu katika siasa lengo letu sio kuchukua dola ila kuelekeza kufanya siasa nzuri. Mano suala la bandari badala ya kujadili kwa hoja sasa kinachoendelea dini imeingizwa," alisema Padri Florence Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kislamu Tanzania, Shehe Musa Kundecha alisema si vizuri viongozi wa dini kuwa mashabiki wa chama fulani cha siasa.
"Asipande katika jukwaa la siasa kuonesha chama gani kinafaa, waepuke ubaguzi na kubagua, lakini alipaswa kukemea, makosa ya kisiasa ni makubwa, viongozi wa kidini wanatakiwa kuangalia hili kwa umakini zaidi," alisema Shehe Kundecha.

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Mchungaji Moses Matonyah alisema viongozi wa dini wanatakiwa kuwachunga Watanzania wote wanaotoka katika vyama vote vya siasa..

Mchungaji Matonyah alisema sasa kuna tabia ya viongozi wa kisiasa kujitokeza kwenye majukwaa ya kisiasa na hawaja-tumwa kupitia mabaraza.

Akifungua mkutano huo, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi alisema wamefuatilia mwenendo wa siasa nchini, na kuona kuna haja yakuwa na kikao hicho ili kujadili chan gamoto kwenye mikutano ya hadhara.
Huyu Mutungi na hao wengibe waliotoa maneno hayo, sidhani kama wana uelewa au hata kumbukumbu.

Basi waseme, Gwajima kuwa mbunge ni halali au siyo halali? Kama siyo halali, amekiuka sheria gani? Kama kuna sheria amekiuka, wanatoa tamko gani?

Viongozi wa dini na Mutungi waache unafiki. La sivyo watadharaulika.

Kwa sheria zetu zilizopo, hakuna hata moja inayozuia kiongozi wa dini kufanya siasa au kushiriki siasa. Kama tunataka viongozi wa dini wasishiriki mambo ya siasa, basi itungwe sheria kwaajili ya hilo, tukianzia na tafsiri ya shughuli za siasa ni nini?
 
Mmeita viongozi wa dini Pro-CCM ili ionekane ni wote wamesema? Kina Alhad Mussa walikuwa wanavaa Sare za CCM Huyo Mutungi alikuwa kalewa? Mbona hakuitisha Mkutano Mabalozi walipovishwa kofia za CCM?
Nchi imejaa unafiki na ghiliba.
 
HATUDANGANYIKI!!

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Viongozi wa dini wana haki sawa kama raia wote. Wana haki ya kujiunga na vyama vya siasa wanavyovipenda nje ya shughuli zao za kidini, kama walivyo na haki ya kushabikia timu waipendayo iwe simba, yanga etc. Ni sawa na kusema kwakuwa ni kiongozi wa dini asishabikie timu yeyote bali azipende timu zote!
 
Back
Top Bottom