MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,433
- Sasa yote unasema mwenye mkuu!!
Le Mutuz
Mkuu,
Mfano wa Chacha Wangwe na Kolimba unaweza kuunganisha vipi na ujumbe uliokusudia kwenye hii thread?
Ufafanuzi tafadhali.
- Sasa yote unasema mwenye mkuu!!
Le Mutuz
Mkuu,
Mfano wa Chacha Wangwe na Kolimba unaweza kuunganisha vipi na ujumbe uliokusudia kwenye hii thread?
Ufafanuzi tafadhali.
Kama ni sawa, basi iwe sawa kwa vyama vyote. Kama si sawa, pia si sawa kwa vyama vyote. Kwa hiyo title ya thread yako ilitakiwa kuwa "Vyama vya siasa jifunzeni demokrasia ...." na sio "Wapinzani jifunzeni demokrasia ...."- Lets say kwamba huyu mtoto alifuatiliwa na CCM, so unasema ni sawa Chadema kuwatishia wanaokosoa kwa sababu CCM imemtishia huyu mtoto?
Le Mutuz
- Ila sijaona huyo mtoto alipoitwa mhaini, msaliti, pandikizi au mamluki au wewe umeona hiyo mkuu? sijaona aliposimamishwa chama kwa siku 14 akisubiri kujieleza ili asifukuzwe chama au?
Le Mutuz
Kama ni sawa, basi iwe sawa kwa vyama vyote. Kama si sawa, pia si sawa kwa vyama vyote. Kwa hiyo title ya thread yako ilitakiwa kuwa "Vyama vya siasa jifunzeni demokrasia ...." na sio "Wapinzani jifunzeni demokrasia ...."
Sasa wewe umeamua kubishana sasa huyo mtoto kuhoji tayari afisa usalama wameanza kumfuatilia democracy ipo wapi hapo? Kwani we huoni kuwa ccm ni mzigo.
Kwani kukubali kukosolewa ni lazima kuwe kunatokana na mawazo ya viongozi wa chama? Ukikataa kukosolewa na mifumo iliyo nje ya siasa, hilo unaona ni sawa tu? That's why nilisema tatizo linaelekea lipo kwako- Una maana huyo mtoto ni mbunge au naibu katibu mkuu wa CCM?
Le Mutuz
- Labda ujiulize mwenyewe maana ni wewe uliyeyaleta hayo na nje sana ya hii mada
Le Mutuz
- Kumbe yule mtoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM? Nafahamu Sheria za Uasalama wa Taifa ni kwamba kuna mambo ukiyafanya kwa Kiongozi mkuu wa Taifa, wanatakiwa kukufuatilia kukujua kama una nia na madhumuni tofauti na yale uliyoyaonyesha ila sikujua huyu mtoto mdogo ndiye sababu ya Chadema, kumpiga Mwenyekiti Arusha na kumnynga'anya Laptop, kuwasimamisha Zitto na Kitila, kumbe walikuwa wanaiiga CCM kwa sababu ya huyu mtoto? ha1 ha! ha!
Le Mutuz
- Katika Demokrasia Siasa ina rules zake na mikakati yake ambayo kuicheza sio kuvunja Sheria wala Katiba kuanzia za chama mpaka Jamhuri, Shibuda aligombea CCM akashindwa akaingia kwenu na it has nothing to do na kicha cha hii mada kwamba badilikeni mjifunze maana ya Demokrasia, nashangaa leo wewe kukosa maneno mengi ya kujibu vipi?
Le Mutuz
Kwani kukubali kukosolewa ni lazima kuwe kunatokana na mawazo ya viongozi wa chama? Ukikataa kukosolewa na mifumo iliyo nje ya siasa, hilo unaona ni sawa tu? That's why nilisema tatizo linaelekea lipo kwako
Mkuu umejenga hoja kwa kushauri wapinzani tu kujifunza kuambiana ukweli kama CCM ndio mfano bora sasa issue ya Kolimba si ndio ingekuwa good point of reference?
BTW ukaamua kumtaja Wangwe ku dissolve issue ya Kolimba! Nikakubali hoja yako lakini nikataka ufafanue tena dhana ya msingi uliyojenga kwenye mada yako kwa reference ya Kolimba na Wangwe alafu unaruka havihusiani tena?
Mzee wa sauti ya umeme vipi tena?
Ntapoteza nguvu nkiendelea kujadiliana na wewe jamaa kweli nimeamini ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi.Amina.
.
- Huu ni wakati wa Vyama vyote vya Upinzani nchini kukaa chini na kujitafakari nini kimewasibu mpaka kufikia kukataa kukosolewa kila wakati viongozi baadhi ya Viongozi wa vyama hivyo wakijaribu kukosoa basi inakuwa shida na balaa kila mahali. Mrema alipokosolewa NCCR kikaishia kubaki kivuli mpaka leo, CUF ilipokosolewa na kina Rashid ikawa kizaaa zaa kila mahali, sasa wenzetu Chadema nao yale yale, tena wao wameeenda mbali zaidi mpaka kuita wakosoaji ni Mamluki, Wahaini, Mapandikizi, Wasaliti jamani mbona CCM Mbunge sasa anataka Waziri Mkuu aondolewe kwa uwajibikaji na hatujasikia haya ya kuitana majina ya ajabu ajabu? Jamani Wapinzani Tanzania jifunzeni uvumilivu wa kisiasa na kama hamuwezi basi siasa sio fani yenu si mrudi tu mnako-fit vizuri kuliko kunga'nga'nia siasa. I mean wewe umechagliwa kwa mujibu wa katiba halaafu unaanza kuhangaika kila kona kutaka kupindisha katiba ile ile iliyokupa nafasi ya kuongoza ili usitoke kwenye uongozi, sasa mkipewa Taifa itakuwaje? Viongozi wakubwa wa Taifa wa chama cha siasa mnapofikia kulumbana mbele ya jamii kuhusu ukweli na uongoa wa katiba yenu wenyewe mlioitunga wenyewe mnatutisha wengine kwenye jamii, kwamba mkishika dola itakuwaje na katiba ya jamhuri ambayo hamkuitunga? si itakuwa vurugu kila siku kugombania ukweli na uongo wa katiba, badilikeni jamani Demokrasia mnayoidai kwa wengine muanze nayo wenyewe ili muwe mfano kwa jamii, kwenye hili la kukataa kukososlewa mmejitia doa kubwa sana ambalo litawachukua muda mrefu sana kujisafisha mbele ya jamii.
- Kwenye hili la kujikosoa mnahitaji kujifunza kutoka kwa CCM, kwamba kukosoana sio Uhaini, Usaliti, Upandikizi, wala Mamluki ila ni Demokrasia ya kweli. (Soma gazeti la Jambo Leo leo Ukurasa wa 10)
Le Mutuz
.
- Huu ni wakati wa Vyama vyote vya Upinzani nchini kukaa chini na kujitafakari nini kimewasibu mpaka kufikia kukataa kukosolewa [ Kukataa kukosolewa ni nini?] kila wakati viongozi baadhi ya Viongozi wa vyama hivyo wakijaribu kukosoa basi inakuwa shida na balaa kila mahali [ ni nini mantiki na maudhui ya kukosoa uongozi? [Je, katiba ya chama husika inasemaje kuhusu muktadha wa kukosoana?]. Mrema alipokosolewa NCCR kikaishia kubaki kivuli mpaka leo [ni nini dhumuni la Mh Mrema kwenda upinzani?], CUF ilipokosolewa na kina Rashid ikawa kizaaa zaa kila mahali, sasa wenzetu Chadema nao yale yale, tena wao wameeenda mbali zaidi mpaka kuita wakosoaji ni Mamluki, Wahaini, Mapandikizi, Wasaliti [Wajua sababu hasa za Chadema kuwaita wakosoaji wake wa ndani majina haya? Je, wajua kuwa Ikulu ya Mh Kikwete pia hutumia lugha hii kwa muktadha tofauti na huu unaotuaminisha hapa?] jamani mbona CCM Mbunge sasa anataka Waziri Mkuu aondolewe kwa uwajibikaji [Unao uhakika kuwa Waziri Mkuu anaondolewa ama ni kipaji kipya cha utabiri kama ilivyokuwa kwa al maarufu Sheikh Yahya Hussein?] Jamani Wapinzani Tanzania jifunzeni uvumilivu wa kisiasa na kama hamuwezi basi siasa sio fani yenu si mrudi tu mnako-fit vizuri kuliko kunga'nga'nia siasa [Kwani siasa ni nini le Mutuz?]. I mean wewe umechagliwa kwa mujibu wa katiba halaafu unaanza kuhangaika kila kona kutaka kupindisha katiba ile ile iliyokupa nafasi ya kuongoza ili usitoke kwenye uongozi, sasa mkipewa Taifa itakuwaje? [ Unamaanisha nini hapa Le Mutuz?] Viongozi wakubwa wa Taifa wa chama cha siasa mnapofikia kulumbana mbele ya jamii kuhusu ukweli na uongoa wa katiba yenu wenyewe mlioitunga wenyewe mnatutisha wengine kwenye jamii, kwamba mkishika dola itakuwaje na katiba ya jamhuri ambayo hamkuitunga? [Mbona ni kama unaelewa msingi wa msuguano ndani ya chadema halafu kwa makusudi unapotosha ukweli? Je, Wakazi wa Dar es Salaam tupo salama kiasi gani kwa kuwa na kiongozi wa CCM wa calibre yako? btw, nini vipaumbele kumi vya CCM katika kuboresha maisha ya wakazi wa Dar es Salaam?] si itakuwa vurugu kila siku kugombania ukweli na uongo wa katiba, badilikeni jamani Demokrasia mnayoidai kwa wengine muanze nayo wenyewe ili muwe mfano kwa jamii, kwenye hili la kukataa kukososlewa mmejitia doa kubwa sana ambalo litawachukua muda mrefu sana kujisafisha mbele ya jamii [ Unamaanisha CCM imepea kwa demokrasia? Unaweza akufafanua japo kidogo kuhusu demokrasia ndani ya CCM ipo kwa kiwango gani? ama unatukumbusha lile neno la Katibu Mkuu Makamba kuwa zimefika zama za kuwa na Spika wa Bunge Mwanamke bila kujali kuwa mwanamama huyo anazo sifa stahiki kuongoza na kusimamia chombo nyeti kama Bunge la Jamhuri, hii ndio demokrasia unayoizungumzia ati imeota mizizi ndani ya Chama Cha Mapinduzi kinachoogopa Mapinduzi?]
- Kwenye hili la kujikosoa mnahitaji kujifunza kutoka kwa CCM, kwamba kukosoana sio Uhaini, Usaliti, Upandikizi, wala Mamluki ila ni Demokrasia ya kweli [ Le Mutuz, kwa nini hujifunzi vigezo vinavyotamka haya makosa? hujui mwongozo ni katiba ya institution husika? unataka Chadema watoe hukumu sawa bin sawia kwa makosa yanayokinzana na katiba yao kwa kufuata yanayotokea CCM? Sasa tofauti ya CCM na Chadema itakuwa ni nini?]. (Soma gazeti la Jambo Leo leo Ukurasa wa 10)
Le Mutuz