Wapinzani ni bendera fuata upepo, hawana dira

lawla

Member
Jan 3, 2017
62
49
Hapo mwanzo wapinzani mlikuwa mnasema Kikwete awataje leo katokea mtu wa kuwataja mnalalamika. Nyie wapinzani tuwaalewe vipi lakini mbona hamna dira yoyote?

Pili mlikuwa mnalalamika tunataka Rais mwenye Maamuzi huyo Magufuli amekuja lakini bado mnalalamika ooooh Rais dikteta. Mbona mnakuwa vigeugeu?

Siku hizi ufisadi hamzungumzii kabisa, katiba mmeisahau nayo mliifanya kama issue ya msimu. CHADEMA inapata ruzuku kubwa tu lakini mmeshindwa kujenga hata ofisi za Chama, vipi maendeleo ya nchi mtaweza kweli?

Nyie kweli ni bendera Fata upepo, mwanzo hata hata Dr. Slaa alijua CHADEMA kina dira lakini mwisho wa yote wenye Chama wanafanya maamuzi yao. Leo Zitto Kawa mtu mzuri CHADEMA baada ya kuona Magufuli hana time naye, huu ni unafiki Sana.

Tafuteni hoja za msingi na endelevu ili wananchi wawaelewe sio hoja za msimu.
 
Mkuu ungepunguza mihemuko ungeonekana una busara sana, inabidi uwe na weledi na akili iliotulia kuweza kuelewa dhima nzima ya kutaja hao watumia madawa sababu kwa logic ya kawaida hakuna kilichofanyika, unapomtaja mtu anatumia madawa au muuza madawa halafu unamuita polisi akahojiwe dhumuni ni nini haswa? kuna watu tuhuma zao zinajulikana mitaani lakini wameachiwa dhumuni ni nini haswa? Tuzungumzie swala la maamuzi kuchukuliwa haraka, unapofanya maamuzi hautakiwi kukurupuka, inabidi uwe na busara na hekima katika kutoa maamuzi je huyo unayemsema anazo hizo busara na hekima katika kutoa maamuzi? hakurupuki?
 
Wenye hekima, weledi na ukomavu kama kamishna Sianga wanafanya kazi vizuri.. wewe endelea na kelele zako kwakuwa unadhani kila anayepinga strategies mbovu za serikali ni wa vyama pinzani.
 
Acha ubabaishaji matokeo yalionyesha wazi kuwa walimkataa katakata.
 
Kama kuna kipindi upinzani uliwahi kuboa watz ni hiki. JPM kawachanganya, sisi wananchi wa kawaida hatuwaelewi. Nadhani wamezidiwa na wanahaha kujiokoa. Wamekosea kukimbizana na serikali badala ya sera za ccm. Wenzao wanafanya kweli wao wanamtusi mtendaji ambaye mioyo ya watu ameigusa kwa utendaji wake. Wamesahau dini zao na laana ya huyo wanayemwita daudi itawamaliza.
 
Kama kuna kipindi upinzani uliwahi kuboa watz ni hiki. JPM kawachanganya, sisi wananchi wa kawaida hatuwaelewi. Nadhani wamezidiwa na wanahaha kujiokoa. Wamekosea kukimbizana na serikali badala ya sera za ccm. Wenzao wanafanya kweli wao wanamtusi mtendaji ambaye mioyo ya watu ameigusa kwa utendaji wake. Wamesahau dini zao na laana ya huyo wanayemwita daudi itawamaliza.

Daudi mwenyewe kalaaniwa na wale aliowaweka jela bila hatia.Muulize JPM kwanini anawanyima wapinzani haki zao za kufanya mikutano??Anaogopa nini??
 
Hapo mwanzo wapinzani mlikuwa mnasema Kikwete awataje leo katokea mtu wa kuwataja mnalalamika. Nyie wapinzani tuwaalewe vipi lakini mbona hamna dira yoyote?

Pili mlikuwa mnalalamika tunataka Rais mwenye Maamuzi huyo Magufuli amekuja lakini bado mnalalamika ooooh Rais dikteta. Mbona mnakuwa vigeugeu?

Siku hizi ufisadi hamzungumzii kabisa, katiba mmeisahau nayo mliifanya kama issue ya msimu. CHADEMA inapata ruzuku kubwa tu lakini mmeshindwa kujenga hata ofisi za Chama, vipi maendeleo ya nchi mtaweza kweli?

Nyie kweli ni bendera Fata upepo, mwanzo hata hata Dr. Slaa alijua CHADEMA kina dira lakini mwisho wa yote wenye Chama wanafanya maamuzi yao. Leo Zitto Kawa mtu mzuri CHADEMA baada ya kuona Magufuli hana time naye, huu ni unafiki Sana.

Tafuteni hoja za msingi na endelevu ili wananchi wawaelewe sio hoja za msimu.
Maendeleo ya nchi yanaletwa na kina Bashite?
 
Kama kuna kipindi upinzani uliwahi kuboa watz ni hiki. JPM kawachanganya, sisi wananchi wa kawaida hatuwaelewi. Nadhani wamezidiwa na wanahaha kujiokoa. Wamekosea kukimbizana na serikali badala ya sera za ccm. Wenzao wanafanya kweli wao wanamtusi mtendaji ambaye mioyo ya watu ameigusa kwa utendaji wake. Wamesahau dini zao na laana ya huyo wanayemwita daudi itawamaliza.

Mkuu unachekesha kweli, zaidi ya nusu ya watz wanalima kwa kutumia jembe la mkono. Zaidi hiyohiyo nusu wanatumia kuni huku misitu ikiteketea. Huyo anayegusa maisha ya watu amefanya jitihada gani kwenye eneo hilo zaidi ya kujenga flyover hapo Dar na kununua bombadier? Shukuruni hao walio wengi ambao ni wakulima wamekosa elimu vinginevyo muda tu mngekuwa mlishapotea na huo upuuzi wenu.
 
Hapo mwanzo wapinzani mlikuwa mnasema Kikwete awataje leo katokea mtu wa kuwataja mnalalamika. Nyie wapinzani tuwaalewe vipi lakini mbona hamna dira yoyote?

Pili mlikuwa mnalalamika tunataka Rais mwenye Maamuzi huyo Magufuli amekuja lakini bado mnalalamika ooooh Rais dikteta. Mbona mnakuwa vigeugeu?

Siku hizi ufisadi hamzungumzii kabisa, katiba mmeisahau nayo mliifanya kama issue ya msimu. CHADEMA inapata ruzuku kubwa tu lakini mmeshindwa kujenga hata ofisi za Chama, vipi maendeleo ya nchi mtaweza kweli?

Nyie kweli ni bendera Fata upepo, mwanzo hata hata Dr. Slaa alijua CHADEMA kina dira lakini mwisho wa yote wenye Chama wanafanya maamuzi yao. Leo Zitto Kawa mtu mzuri CHADEMA baada ya kuona Magufuli hana time naye, huu ni unafiki Sana.

Tafuteni hoja za msingi na endelevu ili wananchi wawaelewe sio hoja za msimu.
Taifa lakokinakoongizwa na chama chenye Dira eleza tunaelekea wapi ? Dodoma na Bombardier na Jets ndio Dira mlikuwa mnaitaka iwaelekeze
Non sense remain a non sense even if written in JF.
 
Umelala ukaamka unwaza wapinzani..? Mama ako kijijini umempigia simu kumsalimia kujua kaamkaje?
 
wanliposema maamuzi magumu hawakumaanisha kula misaada ya wahanga au kunyima chakula watoto, wajane na vikongwe wenye njaa.
 
Back
Top Bottom