chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,126
- 22,524
soma vizuri, binti amefariki kutokana na maandamano haramu, wish Risasi ile ingemramba mmoja wa viongozi wenu.
Mbona siasa zinakuvua utu kijana??? Hao viongozi ni baba/mama wa MTU ni mke/mume wa MTU ni ndugu wa MTU ni jirani wa MTU ni tegemeo la mtu ni watoto. Siasa isikufanye ukakosa utu. Kwasababu wamechagua upinzani ndo wasiwe na haki ya kuishi?????
Ebu kaa ujitafakari siasa zinakupoteza unakuwa kama shetani(maana shetani ndo hana utu)
Wapinzani wa leo ni watawala wa kesho. Na wao wakija wafanyia watoto wako au wajukuu zako unayotaka wafanyiwe sasa. Haitakufraisha.
Tulia ujitafakari.