Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,689
- 26,189
Usilazimishe.Yatakuwa yamekuchoma. Si bure.
Yale yale ya jiwe la gizani. Ukisikia ukelele limempata huyo.
Usilazimishe.Yatakuwa yamekuchoma. Si bure.
Yale yale ya jiwe la gizani. Ukisikia ukelele limempata huyo.
Hana roho mbaya, ila ana Maradhi yanayoitwa nyumbu syndromeMwenye roho mbaya humjui?
We kenge lini ulikua upinzaniPolee upinzani ulikuwepo before 2015 BT now hata tuliokua upinzani tumehama maana hamjielewi mnataka nn... Mmebaki kuchafua nchi tuu na siwafichi uchaguz wa 2020 ndo utakua rahisi kwa magu kuliko chaguzi yoyoye maana watu washawajua hamna nia ya kukomboa taifa ila MNA nia ya kuingia madaraka SAA cjui mkiingia itafanya nn maana tulichotaka kifanyike ndio kinafanyikaa. So all upinzani can kiss ma black ass
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hojaHuyu bwana mnatakiwa mumuwekee msimamo na moja ya msimamo uwe na kutoshiriki ziara zake kwenye majimbo yenu.
Tambueni kaamua kupambana na nyinyi hivyo mteendeeni kulingana na matendo yake na si kulingana ni wadhifa wake vinginevyo itakula kwenu.
Mnachotakiwa ni nyinyi muwe msimamo mkali kama TAL ambae ameshaamua kula nae sahani moja (dawa ya moto ni moto).
Msimpe nafasi ya kujifanya anawatambua mbele ya wananchi ili hali ni adui yenu hivyo mjitenge nae hata kama atajisikia vibaya maana anapenda kuabudiwa.
Hii vita ni serous na ili mshinde, ni lazima na nyinyi muwe serious na muwe na misimamo isiyoyumba vingine itachukua muda mrefu kushinda vita hii.
Ninahakika TAL amelitambua hili na ndio maana harudi nyuma na wala hacheki nae hivyo na nyinyi mnapaswa kumuonyesha msimamo mkali.
Asiwadanganye mtu, kila mtu anamuhitaji mwingine na ndio maana huwa wanalalamika ikitokea baadhi yenu hamshiriki ziara zake.
Ni ushauri kutokana na hali halisi ya mambo kwa sasa.
Tambueni sometimes heshima huwa haiji hivi hivi.
unaroho mbaya sana kijana ukizeeka utakuwa mchawi
Si ushauri mzuri kwa hao uliowalenga, labda tu kama una nia ya kuwaharibia.Huyu bwana mnatakiwa mumuwekee msimamo na moja ya msimamo uwe na kutoshiriki ziara zake kwenye majimbo yenu.
Tambueni kaamua kupambana na nyinyi hivyo mteendeeni kulingana na matendo yake na si kulingana ni wadhifa wake vinginevyo itakula kwenu.
Mnachotakiwa ni nyinyi muwe msimamo mkali kama TAL ambae ameshaamua kula nae sahani moja (dawa ya moto ni moto).
Msimpe nafasi ya kujifanya anawatambua mbele ya wananchi ili hali ni adui yenu hivyo mjitenge nae hata kama atajisikia vibaya maana anapenda kuabudiwa.
Hii vita ni serous na ili mshinde, ni lazima na nyinyi muwe serious na muwe na misimamo isiyoyumba vingine itachukua muda mrefu kushinda vita hii.
Ninahakika TAL amelitambua hili na ndio maana harudi nyuma na wala hacheki nae hivyo na nyinyi mnapaswa kumuonyesha msimamo mkali.
Asiwadanganye mtu, kila mtu anamuhitaji mwingine na ndio maana huwa wanalalamika ikitokea baadhi yenu hamshiriki ziara zake.
Ni ushauri kutokana na hali halisi ya mambo kwa sasa.
Tambueni sometimes heshima huwa haiji hivi hivi.
Hasiposhiriki mpinzani atashiriki mamayake, babake, mkewe, mmewe, mwanae hata mkwewe kutoa shida zao kwani boss hanuniwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu murua kabisa!Hao waende tena ikibidi waandike matatizo yao kwenye notebook ili wasiyasahau, lakini sio kiongozi wa upinzani. Matatizo ya wananchi hufuata proper channels Kama kwa diwani nk, hizo sifa za jukwaani waachiwe wanaojipendeza kwake.
Mkuu upoMwaka 2012 Uwanja Wa Namfua Singida Niliwaona Kikwete, Magufuli Na Lissu.Ni Bahati Sana Kuwaona Marais Watatu Kiwanja Kimoja.
Mbona mlisema ukweli wa mamvi alafu mkageuka na kuanza kumuabudu mixer kudeki barabara???😂😂😂 nyie huwaga mnaropoka tu alafu plan hamna. Hivi mnaweza kutupa plan yenu ya uchaguzi 2015?
Taratibu namba mliyoisoma inawashinda kuitambua! Chezea kaulimbiu ya hapa kazitu#Huyu bwana mnatakiwa mumuwekee msimamo na moja ya msimamo uwe na kutoshiriki ziara zake kwenye majimbo yenu.
Tambueni kaamua kupambana na nyinyi hivyo mteendeeni kulingana na matendo yake na si kulingana ni wadhifa wake vinginevyo itakula kwenu.
Mnachotakiwa ni nyinyi muwe msimamo mkali kama TAL ambae ameshaamua kula nae sahani moja (dawa ya moto ni moto).
Msimpe nafasi ya kujifanya anawatambua mbele ya wananchi ili hali ni adui yenu hivyo mjitenge nae hata kama atajisikia vibaya maana anapenda kuabudiwa.
Hii vita ni serous na ili mshinde, ni lazima na nyinyi muwe serious na muwe na misimamo isiyoyumba vingine itachukua muda mrefu kushinda vita hii.
Ninahakika TAL amelitambua hili na ndio maana harudi nyuma na wala hacheki nae hivyo na nyinyi mnapaswa kumuonyesha msimamo mkali.
Asiwadanganye mtu, kila mtu anamuhitaji mwingine na ndio maana huwa wanalalamika ikitokea baadhi yenu hamshiriki ziara zake.
Ni ushauri kutokana na hali halisi ya mambo kwa sasa.
Tambueni sometimes heshima huwa haiji hivi hivi.
Hawezi kuwazidi wanaccm kwa rohombaya.....!unaroho mbaya sana kijana ukizeeka utakuwa mchawi