Wapinzani,huyu bwana akija katika majimbo yenu kwenye ziara zake msishiriki

Polee upinzani ulikuwepo before 2015 BT now hata tuliokua upinzani tumehama maana hamjielewi mnataka nn... Mmebaki kuchafua nchi tuu na siwafichi uchaguz wa 2020 ndo utakua rahisi kwa magu kuliko chaguzi yoyoye maana watu washawajua hamna nia ya kukomboa taifa ila MNA nia ya kuingia madaraka SAA cjui mkiingia itafanya nn maana tulichotaka kifanyike ndio kinafanyikaa. So all upinzani can kiss ma black ass

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie wenye nia na kukomboa nchi naona mnawarudishia korosho mpaka zinanyeshewa mvua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polee upinzani ulikuwepo before 2015 BT now hata tuliokua upinzani tumehama maana hamjielewi mnataka nn... Mmebaki kuchafua nchi tuu na siwafichi uchaguz wa 2020 ndo utakua rahisi kwa magu kuliko chaguzi yoyoye maana watu washawajua hamna nia ya kukomboa taifa ila MNA nia ya kuingia madaraka SAA cjui mkiingia itafanya nn maana tulichotaka kifanyike ndio kinafanyikaa. So all upinzani can kiss ma black ass

Sent using Jamii Forums mobile app

Deni la taifa ndani ya hii miaka mitatu limeongezeka kwa 20t na ajira hakuna. Hilo liweke kichwani.
 
Nyanda za juu kusini mfano Mbeya na Songwe sijui atakuja na jipya gani, maana hajawahi tembelea toka amekalia hicho kiti
 
Huyu bwana mnatakiwa mumuwekee msimamo na moja ya msimamo uwe na kutoshiriki ziara zake kwenye majimbo yenu.

Tambueni kaamua kupambana na nyinyi hivyo mteendeeni kulingana na matendo yake na si kulingana ni wadhifa wake vinginevyo itakula kwenu.

Mnachotakiwa ni nyinyi muwe msimamo mkali kama TAL ambae ameshaamua kula nae sahani moja (dawa ya moto ni moto).

Msimpe nafasi ya kujifanya anawatambua mbele ya wananchi ili hali ni adui yenu hivyo mjitenge nae hata kama atajisikia vibaya maana anapenda kuabudiwa.

Hii vita ni serous na ili mshinde, ni lazima na nyinyi muwe serious na muwe na misimamo isiyoyumba vingine itachukua muda mrefu kushinda vita hii.

Ninahakika TAL amelitambua hili na ndio maana harudi nyuma na wala hacheki nae hivyo na nyinyi mnapaswa kumuonyesha msimamo mkali.

Asiwadanganye mtu, kila mtu anamuhitaji mwingine na ndio maana huwa wanalalamika ikitokea baadhi yenu hamshiriki ziara zake.

Ni ushauri kutokana na hali halisi ya mambo kwa sasa.

Tambueni sometimes heshima huwa haiji hivi hivi.
Stupidity story

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polee upinzani ulikuwepo before 2015 BT now hata tuliokua upinzani tumehama maana hamjielewi mnataka nn... Mmebaki kuchafua nchi tuu na siwafichi uchaguz wa 2020 ndo utakua rahisi kwa magu kuliko chaguzi yoyoye maana watu washawajua hamna nia ya kukomboa taifa ila MNA nia ya kuingia madaraka SAA cjui mkiingia itafanya nn maana tulichotaka kifanyike ndio kinafanyikaa. So all upinzani can kiss ma black ass

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kusema ukweli ndio kuchafuwa nchi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah we dogo huna kazi??
Relax, vijana kama hawa huwa hawakawiii kupotea hapa jukwaani, hoja zinawalemea mapema. Very soon ata-disappear kama wengine au atapata fire baptinism na kuja Upinzani. Trust me, tuliwahi kuwa na Wapuuzi zaidi yake yaani kila thread ana comment with seconds, ukipost tu kesha comment upuuzi. Ilifika kipindi tukadhani labda jamaa walikau ni robots but with time wali-disappear kwahio hata huyu nae siku zake zinahesabika
 
Malofa katika ubora wenu.
Huyu bwana mnatakiwa mumuwekee msimamo na moja ya msimamo uwe na kutoshiriki ziara zake kwenye majimbo yenu.

Tambueni kaamua kupambana na nyinyi hivyo mteendeeni kulingana na matendo yake na si kulingana ni wadhifa wake vinginevyo itakula kwenu.

Mnachotakiwa ni nyinyi muwe msimamo mkali kama TAL ambae ameshaamua kula nae sahani moja (dawa ya moto ni moto).

Msimpe nafasi ya kujifanya anawatambua mbele ya wananchi ili hali ni adui yenu hivyo mjitenge nae hata kama atajisikia vibaya maana anapenda kuabudiwa.

Hii vita ni serous na ili mshinde, ni lazima na nyinyi muwe serious na muwe na misimamo isiyoyumba vingine itachukua muda mrefu kushinda vita hii.

Ninahakika TAL amelitambua hili na ndio maana harudi nyuma na wala hacheki nae hivyo na nyinyi mnapaswa kumuonyesha msimamo mkali.

Asiwadanganye mtu, kila mtu anamuhitaji mwingine na ndio maana huwa wanalalamika ikitokea baadhi yenu hamshiriki ziara zake.

Ni ushauri kutokana na hali halisi ya mambo kwa sasa.

Tambueni sometimes heshima huwa haiji hivi hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom