Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,327
Wapinzani ni lazima muonyeshe kuchukizwa na huyu mtu wa kukalia kimya vitendo hivi vinavyowaangamiza wanachama wenu na njia moja wapo ni kutoshiriki katika ziara zake katika maeneo yenu na kuepuka kabisa kumsifu au kumpongeza kwani pongezi hizi zinamfanya aone anayowatendea watu wenu ni sahihi na kwamba nyinyi ni wepesi wa kusahau hivyo mnampa nguvu ya kuendelea kukalia kimya vitendo hivi viovu.
Nawashauri mjifunze kwa yule kamanda alieko ughaibuni ambae kamwe hana muda wa kumsifu na kumpongeza na ninaamini anafanya hivi kuepuka kumuonyesha kuwa anaweza kuwatendea uovu na bado akasifiwa licha ya uovu wake jambo ambalo si sawa kabisa na hata mimi binafsi huwa nawashangaa sana na huwa siwaelewi huwa mnafuata nini katika ziara zake hizo ambazo wakati mwingine anazitumia hata kunanga upinzani na kusifia chama chake.
Isitoshe, hata mkieleza matatizo yenu,sidhani kama kuna la maana huwa linafanyika na kama lipo,basi nionyesheni mfano wa alilowahi kulitekeleza baada ya nyie kumuomba alitekeleza.Binafsi sijaona zaidi ya kuwahujumu tu.
Kama ndio ustaarabu mnaonyesha kwa kufanya hivi,basi muwe teyari kuyashuhudia na kuyavumila haya yanayoendelea kwani mbaya wenu anaowaona hamko seriuos hivyo ataendelea tu.
Jambo hil niliwahi lisema humu na leo nimelirudia kama kuwakumbusha tu japo kwa style tofauti.
Mimi naishia hapa, nawaachia muamue cha kufanya, ila all in all, ni lazima muonyesha kutomkubali vinginevo atazidi kujisahau.
Nawashauri mjifunze kwa yule kamanda alieko ughaibuni ambae kamwe hana muda wa kumsifu na kumpongeza na ninaamini anafanya hivi kuepuka kumuonyesha kuwa anaweza kuwatendea uovu na bado akasifiwa licha ya uovu wake jambo ambalo si sawa kabisa na hata mimi binafsi huwa nawashangaa sana na huwa siwaelewi huwa mnafuata nini katika ziara zake hizo ambazo wakati mwingine anazitumia hata kunanga upinzani na kusifia chama chake.
Isitoshe, hata mkieleza matatizo yenu,sidhani kama kuna la maana huwa linafanyika na kama lipo,basi nionyesheni mfano wa alilowahi kulitekeleza baada ya nyie kumuomba alitekeleza.Binafsi sijaona zaidi ya kuwahujumu tu.
Kama ndio ustaarabu mnaonyesha kwa kufanya hivi,basi muwe teyari kuyashuhudia na kuyavumila haya yanayoendelea kwani mbaya wenu anaowaona hamko seriuos hivyo ataendelea tu.
Jambo hil niliwahi lisema humu na leo nimelirudia kama kuwakumbusha tu japo kwa style tofauti.
Mimi naishia hapa, nawaachia muamue cha kufanya, ila all in all, ni lazima muonyesha kutomkubali vinginevo atazidi kujisahau.