Wapinzani acheni kuwa walimu wa CCM

The golden

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
1,381
2,553
Nimesoma kinachoendelea . Nimeanza kuona baadhi ya wafuasi wa vyama vya upinzani wameanza kukifundisha chama hiki kikongwe namna ya kujinasua na hali iliyopo sasa.

Tulieni ,nyamazeni kimya. Ukimya ni busara pia. Acheni kabisa kuingilia huu mgogoro Hawa jamaa wanaweza kupatana halafu wakaja na nguvu ya pamoja na kuwashughulikia nyinyi ipasavyo.

Kama wakati umefika wa wao kugawana fito ukweli utajionesha wenyewe. Nyie endeleeni kuchungulia dirishani. Wala msitoke nje kushangilia.
 
Kwani hao wahuni wana haki miliki ya Tanzania!? Yanayojiri yanatuhusu Watanzania wote bila kujali itikadi zetu.

Nimesoma kinachoendelea . Nimeanza kuona baadhi ya wafuasi wa vyama vya upinzani wameanza kukifundisha chama hiki kikongwe namna ya kujinasua na hali iliyopo sasa.

Tulieni ,nyamazeni kimya. Ukimya ni busara pia. Acheni kabisa kuingilia huu mgogoro Hawa jamaa wanaweza kupatana halafu wakaja na nguvu ya pamoja na kuwashughulikia nyinyi ipasavyo.

Kama wakati umefika wa wao kugawana fito ukweli utajionesha wenyewe. Nyie endeleeni kuchungulia dirishani. Wala msitoke nje kushangilia.
 
Nimesoma kinachoendelea . Nimeanza kuona baadhi ya wafuasi wa vyama vya upinzani wameanza kukifundisha chama hiki kikongwe namna ya kujinasua na hali iliyopo sasa.

Tulieni ,nyamazeni kimya. Ukimya ni busara pia. Acheni kabisa kuingilia huu mgogoro Hawa jamaa wanaweza kupatana halafu wakaja na nguvu ya pamoja na kuwashughulikia nyinyi ipasavyo.

Kama wakati umefika wa wao kugawana fito ukweli utajionesha wenyewe. Nyie endeleeni kuchungulia dirishani. Wala msitoke nje kushangilia.

Huku mitandaoni sio ofisi ya chama chochote cha upinzani, bali ni maoni ya watanzania wapenda siasa. Ingekuwa ni taarifa rasmi kutoka kwenye chama chochote cha upinzani kuingilia huo mtafaruku hapo sawa. Kama ccm wako huku mitandaoni wakisubiri kupata solution ya mgogoro wao basi wamepoteza.
 
Kwani hao wahuni wana haki miliki ya Tanzania!? Yanayojiri yanatuhusu Watanzania wote bila kujali itikadi zetu.
Mkuu Baki, tuwe makini sana na hili swala vingevevyo wapinzani wanaweza kufanya kosa la kisiasa kwenye kipindi hiki.

Kakaa kimya ni bora zaidi kuliko kuanza kuwapa mikakati ya kujinasua . Nimesoma ukurasa wa Instagram wa Yeriko Nyerere amewapa hadi strategies za kuondokana na tatizo lao.
 
Wapinzani umewaona wapi nami niende kuwashangaa, wamevaa sale zao!!!?
 
Nope! No need to stay quiet on this important issue for the future our beautiful country.

Mkuu Baki, tuwe makini sana na hili swala vingevevyo wapinzani wanaweza kufanya kosa la kisiasa kwenye kipindi hiki.

Kakaa kimya ni bora zaidi kuliko kuanza kuwapa mikakati ya kujinasua . Nimesoma ukurasa wa Instagram wa Yeriko Nyerere amewapa hadi strategies za kuondokana na tatizo lao.
 
Tatizo la kudhani kila ambaye hakubaliani au kutoa maoni kinzani na serikali ya CCm ni upinzani huwa inakera sana
 
Huku mitandaoni sio ofisi ya chama chochote cha upinzani, bali ni maoni ya watanzania wapenda siasa. Ingekuwa ni taarifa rasmi kutoka kwenye chama chochote cha upinzani kuingilia huo mtafaruku hapo sawa. Kama ccm wako huku mitandaoni wakisubiri kupata solution ya mgogoro wao basi wamepoteza.
Kwa hiyo Mkuu unataka kuniambia kuwa mawazo yote yanayoandikwa huku hayana maana yoyote kwa hiyo CCM wasitegemee kupata chochote cha maana huku?

Kama jibu ni ndio, basi watu wote ambao tuko huku hatuna akili na mawazo yote yanayoandikwa huku Kila siku hayana faida hata kidogo.

Mimi nadhani kwa mawazo yangu upinzani wawe na akiba ya maneno kwa hiki ambacho kinaendela huko CCM.
 
Kwa hiyo Mkuu unataka kuniambia kuwa mawazo yote yanayoandikwa huku hayana maana yoyote kwa hiyo CCM wasitegemee kupata chochote cha maana huku?

Kama jibu ni ndio, basi watu wote ambao tuko huku hatuna akili na mawazo yote yanayoandikwa huku Kila siku hayana faida hata kidogo.

Mimi nadhani kwa mawazo yangu upinzani wawe na akiba ya maneno kwa hiki ambacho kinaendela huko CCM.

Mkuu unachotaka kusema hapa ni kama watu wasiangalie sinema za kivita kwa mantiki ya kwamba wanaweza kuanzisha vita. Hili ni jukwaa huru kila mtu anaweza kuchangia apendacho. Iwapo wanaccm watapata mbinu hilo sio tatizo ili mradi tuondokane na utawala wa mabavu.
 
Nimesoma kinachoendelea . Nimeanza kuona baadhi ya wafuasi wa vyama vya upinzani wameanza kukifundisha chama hiki kikongwe namna ya kujinasua na hali iliyopo sasa.

Tulieni ,nyamazeni kimya. Ukimya ni busara pia. Acheni kabisa kuingilia huu mgogoro Hawa jamaa wanaweza kupatana halafu wakaja na nguvu ya pamoja na kuwashughulikia nyinyi ipasavyo.

Kama wakati umefika wa wao kugawana fito ukweli utajionesha wenyewe. Nyie endeleeni kuchungulia dirishani. Wala msitoke nje kushangilia.
Ccm haihitaji mwalimu.utamaduni huu sijui imejifunza wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom