MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Suala la kulialia kwamba CCM inatumia rasirimali za umma kujinufaisha au inatumia mgumu uliopo kuendelea kutawala.
Msiishie kupiga kelele tu, tumieni kila namna kuitafuta katiba mpya kwa namna yeyote ile mtafanikiwa na hayo mengine yatafikia mwisho tu.Hii ndio itakua solution ya yote hayo.
Msiishie kupiga kelele tu, tumieni kila namna kuitafuta katiba mpya kwa namna yeyote ile mtafanikiwa na hayo mengine yatafikia mwisho tu.Hii ndio itakua solution ya yote hayo.