Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,179
- 34,422
Lol mi naelewa inakuwaje... mwenyewe kuna siku huwa naachia body teheeee nafunguka mbaya! Ila siku kama hizo redio muhimu rum!
You need a gag. lol
Huwa wamekufanyeje kwani? hahah
Lol mi naelewa inakuwaje... mwenyewe kuna siku huwa naachia body teheeee nafunguka mbaya! Ila siku kama hizo redio muhimu rum!
You need a gag. lol
Huwa wamekufanyeje kwani? hahah
Siku ukifunguka niite mwaya.Teheeee maisha Karucee maisha...! Siku ntafunguka leo kuna watoto hapa lol
Live getting laid?
Hivi nilikunywa nini jana mbona hamna ninachoelewa?
Ama you are having an effect on me? lol
Hahahaa...hazichagui inategemea tu kitu kimewanock vipi!! Lol
hahahaha.
Haya bwana stay safe.
Hahahahhaa...yani hata sikumbuki huwa nafanyaga nini
uchungu hapo haupo usitudanganye
itakuwa maumivu makali
Mamaweee mamaweee nakujaaa nakujaaa nipokeeee mwenziooooo
Mamaweee mamaweee nakujaaa nakujaaa nipokeeee mwenziooooo
Kuwa makini sana maana ukimziba sana mdomo, sauti inaweza hamia maeneo mengine na akatoa bomu la hatari teh tehNi heri majirani wasikie makelele yenu kwa kuwa hakuna jambo baya litakalowatokea kuliko kumziba mwenza mdomo kunakoweza kumsababishia mauti. Wakati unataka kumziba kwa shuka we huwa wajisikiaje? unavyojisikia hakuna tofauti na anavyojisikia mwenzako
Hahahahaaaa mangatara umesababisha nimepaliwa na kiroba changu cha burudani wine qui qui quiiiiii .Nimeipendaje hii!!!Miye nikimpata huyo, navizia pale mijitu inaanza kula cha usiku. Niwadhihirishie kuwa namiye nimo kwenye wenye uwezo wa kumfikisha kileleni. Halafu ni kiila siku mpaka wahame waniachie nyumba.
Ni utamu ni uchungu ni furaha au ninini ? mbaya zaidi kama mnakaa nyumba ya kupanga halafu haina ceiling board Huwa natamani kumziba mtu mdomo kwa shuka.