Wapigao kelele wakikaribia kufika kileleni

Wapigao kelele wakikaribia kufika kileleni

kwani ni kelele za namna gani hizo? Mi nadhani kama ni miguno ni kitu cha kawaida kwani hata bata nao huguna kitu kinapocheu sembuse binadamu. Au hujui hata kompyuta huitikia mara tu modemu inapoingizwa au kutolewa sembuse binadamu!!

yaani hapo mwili wa mpenzi wako ndo unapoandika new hardware found. sasa mleta mada anataka kimya kimya tu, atajuaje kama kitu kinajipa?
 
tatizo hajaweka wazi kelelezake ni za namna gani funguka bas
 
Utasikia baby baby baby nakuja nakuja nakuja ahaa ahaa nakuja nakuja..ahaaa!
 
Utasikia baby baby baby nakuja nakuja nakuja ahaa ahaa nakuja nakuja..ahaaa!

Mmoja alibanwa na tumbo la ghafla katikati ya majamboz akaanza kusema nakunyaa nakunyaa jamaa akadhani mwenzie anasema nakujaa nakujaaa
 
Ni utamu ni uchungu ni furaha au ninini ? mbaya zaidi kama mnakaa nyumba ya kupanga halafu haina ceiling board Huwa natamani kumziba mtu mdomo kwa shuka.

kama umegusa 0713 ....,,,
kwa nini asipige kelele
 
akipiga kelele wewe unaumia nini???na akikaa kimya unafaidika nini

mpe penzi kama ukimkuna anapotaka akapiga kelele kwa raha zke apigeeeeee

na akikuangalia kama mstimu wa babelini ndo utajua anamaanisha nini
 
Mamaweee mamaweee nakujaaa nakujaaa nipokeeee mwenziooooo

Khaaaaa! Sasa wewe hapo kinakukera kitu gani unatakiwa na wewe umjibu.

Babaweeee babaweeee siwezi kukupokea niko busy!
 
We mandingooooooooooh!!!! chomoa nijambeeeeeeehhhh!!!
kabla ya hapo alisema nina bakora mwisho wa siku kakutana na kirungu!
 
Back
Top Bottom