Wapiga kura wa CCM Zanzibar 181,837 kuwakosesha Watanzania millioni 49 ruzuku ya MCC

wakati umefika kwa watanzania kuacha kuzoea vya kunyonga!! Inabidi tuchinje.... Wengi mnaopiga kelele misaada imetusaidia nini....tunatakiwa tufanye kazi kwa bidii...tuwe na displini za maisha tutasonga mbele...zama za kutembelea baa kila siku jioni kwa kisingizio cha foleni na vilabu vya usiku jumatatu mpaka jumapili imepita.... Halafu na nyinyi wakimbizi wa kizanzibari mlioko huko ugaibuni mna shida gani? Tuachieni nchi yetu kwanza wengi wenu mmeshakuwa wasomali ....na ndoto yenu ya kumrudisha sultani bargashi imekwama!


Je wewe una akili kuliko huyu mheshimiwa wa MAGOGONI DSM??????

Soma hapa alivyosema kuhusu MCC:-


Tafakari na weka itikadi za kisiasa pembeni. Jadili maendeleo ya nchi yako.
 
magufuli anajenga uchumi wa kujitegemea hatuhitaji misaada ya kijinga kama ya watu wa malekani.
hakuna nchi duniami iloyoendelea bila misaada.China ilipata msaada kutoka Soviet Union,Ujerumani baada ya vita ya dunia ilipata misaada kutoka umoja WA ulaya na hata mpaka sasa hivi kuna nchi za ulaya zinategemea misaada kama ugiriki,uturuki,ureno,Albania na nyingine nyingi tu.Kenya,Nigeria,South Africa wanahitaji miradi ya MCC sembuse Tanzania!
 
je wewe una akili kuliko huyu mheshimiwa wa magogoni dsm??????

Soma hapa alivyosema kuhusu mcc:-


tafakari na weka itikadi za kisiasa pembeni. Jadili maendeleo ya nchi yako.

hakuna issue hapo! Sefue ametoa maelezo yako straight forward....... Hatuwezi kuacha kufuata taratibu kwa sababu ya masharti wa wafadhili...... Wahuni wa kituo kinachoojita wa haki za binaadamu kama walikuwa wanafanya shughuli haramu ambazo haziko kwenye katiba yao na kama walikuwa ni mawakala wa kutetea maslahi ya chama cha nyumbani...mahakama itatusaidia kuliweka hilo hadharani ili tuweze kuliweka wazi kwenye umma wa watanzania na dunia...haikatazwi kutetea maslahi ya chama cha nyumbani...lakini ni muhimu kwa watanzania wote wafahamu...
Mbili suala la zanzibar bado lipo kwenye tume ya uchaguzi....na tume itafanya kazi kwa mujibu wa taratibu zilizopo....full stop! #hapakazitu# hatutaki vya bure!
 
Viongozi wa Zanzibar tangu week iliyopita walianza kuwaandaa wafuasi wao wa ngazi mbali mbali kuwa wakubali wameshindwa. Usishangaye Jecha akajitokeza wakati wowote kuanzia leo kumalizia kutangaza kura na kumtangaza mshindi.
 
hakuna issue hapo! Sefue ametoa maelezo yako straight forward....... Hatuwezi kuacha kufuata taratibu kwa sababu ya masharti wa wafadhili...... Wahuni wa kituo kinachoojita wa haki za binaadamu kama walikuwa wanafanya shughuli haramu ambazo haziko kwenye katiba yao na kama walikuwa ni mawakala wa kutetea maslahi ya chama cha nyumbani...mahakama itatusaidia kuliweka hilo hadharani ili tuweze kuliweka wazi kwenye umma wa watanzania na dunia...haikatazwi kutetea maslahi ya chama cha nyumbani...lakini ni muhimu kwa watanzania wote wafahamu...
Mbili suala la zanzibar bado lipo kwenye tume ya uchaguzi....na tume itafanya kazi kwa mujibu wa taratibu zilizopo....full stop! #hapakazitu# hatutaki vya bure!


Daaaaaa!!!!!!

Inanibidi nikusamehe tu kwani hujui ulisemalo!!!!!​
 
Misaada ya nini!! Ndio maana huwa mnaoelewa.....Misaada wapeleke huko kwa wenzentu wenye kuhitaji..sisi hapa KAZI TU!

Unalosema nadhan hujui wanaojua Umuhimu wa hiyo msaada kama katibu mkuu kiongozi alivyokwisha kutanabaisha wanahaha kuinusuru nchi.
 
Binafsi nnaomba wakatae kutupa ili tusiendelee kuwa ombaomba.

Wakati huo tuwe tumejiandaa kutokuwa ombaomba, si kushupaza shingo wakati uwezo wa kujitegemea amna, ukiangalia Sababu zenyewe ni kwa maslahi ya watu wachache.
 
Wakati huo tuwe tumejiandaa kutokuwa ombaomba, si kushupaza shingo wakati uwezo wa kujitegemea amna, ukiangalia Sababu zenyewe ni kwa maslahi ya watu wachache.

Tumejiandaa vixxuri sana, tazama bajeti za kila mwaka kuanzia 2005 hadi 2015/15 utaona kila mwaka jakaya alifanya kila njia kushusha kutegemea wahisani na amefanya vyema sana kwenye hilo, toka tulipokuwa tunasaidiwa bajeti takriban asilimia 50 mpaka sasa tunaongelea asilimia kumi na ushey.
 
tanzania hatuhitaji fedha kutoka nje! Misaada ndio chanzo cha ziada ya pesa za anasa.....tutabanana na hizi za ndani mpaka kieleweke!!! Waende zaoooo.....gesi na madini hazitatoka!

hahaaaaaaa hujui ukisemacho........muda utakufumbua kutoka usingizini.


No tanzania without marekani pumbavu
 
Hivi haujui kuwa ilani ya CCM na sera ya CCM ni mabadiliko ya ukweli?

Makubwa haya.

Jisomee: ILANI YA CCM 2015-2020 - HABARI ZA SIASA

Mabadiliko mmeyaona leo.

Miaka 55 mlishindwa nini??? CCM NI ILE ILE HAKUNA JIPYA Panya 2.jpg

"Ni kuweka mvinyo mpya katika chombo cha zamani"
 
Tumejiandaa vixxuri sana, tazama bajeti za kila mwaka kuanzia 2005 hadi 2015/15 utaona kila mwaka jakaya alifanya kila njia kushusha kutegemea wahisani na amefanya vyema sana kwenye hilo, toka tulipokuwa tunasaidiwa bajeti takriban asilimia 50 mpaka sasa tunaongelea asilimia kumi na ushey.

Ni kweli kabisa. Kwa mambo haya ya UFISADI uliotukuka Uchumi ulipanda ndani ya mifuko yao lakini siyo kwa Watanzania.
 
hahaaaaaaa hujui ukisemacho........muda utakufumbua kutoka usingizini.


No tanzania without marekani pumbavu[/QUOTE

WEWE UTAKUWA NI NYUMBU MLIBERALI!! NI UCHIZI KUFIKIRI KUWA NO TANZANIA WITHOUT MAREKANI! AKILI HIZI NDIZO ZILIZOKUFANYA UWE NYUMBU UNAEONGOZWA NA AKILI ZA MPIGA DISCO KWENYE MADANGURO YA USIKU..... LINI MNABADILISHA GEAR???
 
hahaaaaaaa hujui ukisemacho........muda utakufumbua kutoka usingizini.


No tanzania without marekani pumbavu[/QUOTE

WEWE UTAKUWA NI NYUMBU MLIBERALI!! NI UCHIZI KUFIKIRI KUWA NO TANZANIA WITHOUT MAREKANI! AKILI HIZI NDIZO ZILIZOKUFANYA UWE NYUMBU UNAEONGOZWA NA AKILI ZA MPIGA DISCO KWENYE MADANGURO YA USIKU..... LINI MNABADILISHA GEAR???


do a research dear...... kila mwanaume anamihemuko yake mkuu. toa point ijadiliwe.

tazama bajet yetu asilimia ngapi huwa pesa yetu wenyewe bila luzuku?

ntakubaliana na wewe ukisema tufanye mabadiliko kuanzia bajeti ijayo, ila kihistoria Tanzania can experience tragic without USA.

Refer. zimbabwe stuation........

any way, welcome
 
Back
Top Bottom