Wapi yanalimwa maharage ya njano?

mwanyaluke

JF-Expert Member
Jan 22, 2015
473
1,448
Maharage ni miongoni mwa nafaka zinazotumika sana Tanzania, tafsri yake soko lake lipo, kuna aina nyingi za maaharage, lakini maharage maarufu na yenye soko ni maharage ya njano, ni mikoa gani na wilaya zipi yanalimwa maharage ya njano.
 
Back
Top Bottom