Best ukiyapata nami nishtue basi, seriousWakuu,
Naomba anayefahamu sehemu yanapopatikana ma-grader yakukodisha kwa Dar es salaam anisaidie contacts zao au maelekezo ya kuwapata.
Natanguliza shukrani
Mosha 0754 381 694 wapigie wapo mwenge Agip House Opp Msikiti wa Mwenge kama unataka kwenda kwa mama Ngoma hospital au Bodi ya mikopo
Mosha 0754 381 694 wapigie wapo mwenge Agip House Opp Msikiti wa Mwenge kama unataka kwenda kwa mama Ngoma hospital au Bodi ya mikopo
Nenda Willy Enterprises, ukiwa unavuka mataa ta Tazara kwenda Mjini upande wako wa kushoto,baada ya Azam tv ,then Furniture showroom, jengo linalofuata wanauza mabati utakuwa umefika[/
Asante mkuu.
ingieni hapa mpate contacts
https://www.jamiiforums.com/matanga...ma-za-kukodisha-excavator-3.html#post12607883