Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
jamani kuna wale ndugu zetu waliokuwa wakifika uwanja wa ndege kila siku
kusbiri ndege ya kwenda nje kuhubiri,..na kuishia kurdishwa na magari ya polisi kutokana na usumbufu wa mara kwa mara,..wao waliamini tkt yao ni biblia,..visa ni vitabu vya kwaya....walikuwa wana ujumbe mzuri kwa jamii sema jinsi ya kuuleta ndipo walipokosea....ni karibu mwaka sasa wamepotea kabisa hata pale tabata awakai tena jamani wameenda wapi???Wasije kuwa wamechukuliwa misukule ...tukaanze kazi na mch gwajima fasta ya kuwarudisha ....
mwenye taarifa abarikiwe
kusbiri ndege ya kwenda nje kuhubiri,..na kuishia kurdishwa na magari ya polisi kutokana na usumbufu wa mara kwa mara,..wao waliamini tkt yao ni biblia,..visa ni vitabu vya kwaya....walikuwa wana ujumbe mzuri kwa jamii sema jinsi ya kuuleta ndipo walipokosea....ni karibu mwaka sasa wamepotea kabisa hata pale tabata awakai tena jamani wameenda wapi???Wasije kuwa wamechukuliwa misukule ...tukaanze kazi na mch gwajima fasta ya kuwarudisha ....
mwenye taarifa abarikiwe