Wapi wanauza viatu, nguo za jumla kwa bei rahisi

Wapi wanauza viatu, nguo za jumla kwa bei rahisi

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
25,300
Reaction score
34,644
Wakuu nahitaji kununua viatu vya kiume na vya kike vizuri kwa bei ya jumla

Pia nahitaji nguo za jumla nzuri

Msaada ,wapi nitapata vitu hivyo kwa hapa Dar?
 
karibu CHINA- Guangzhou upatee vya bei cheee kama bure
Bei zenu zikoje mkuu

Pia belo moja napata viatu vingapi?

Ila nataka viatu vya vijana sitaki vya watoto wala wazee kwa sababu target yangu kubwa ni kwa wanachuo

Kwa hiyo lazima nihakikishe mzigo ni mzuri haswaa nisije nikapata hasara
 
Bei zenu zikoje mkuu

Pia belo moja napata viatu vingapi?

Ila nataka viatu vya vijana sitaki vya watoto wala wazee kwa sababu target yangu kubwa ni kwa wanachuo

Kwa hiyo lazima nihakikishe mzigo ni mzuri haswaa nisije nikapata hasara
bei za jumla mabelo ndo sijui mkuu lbda niulize vibopa wa hizo kazi
 
Wakuu nahitaji kununua viatu vya kiume na vya kike vizuri kwa bei ya jumla

Pia nahitaji nguo za jumla nzuri

Msaada ,wapi nitapata vitu hivyo kwa hapa dar?
Muone dada """"apologise lady"""" ndo muuzaj mkuu. Kama unataka contact ntakupaaaaaaaaa
 
inategemeana sasa na aina ya kiatu unaweza pata adi cha 2000 laba kali mpya ukiwa untafuta streets syo kwenye shopping malls
mkuu
mkuu me nahitaji niwe nanunua laba.za kiume sio kwa belo sitaki malonya nataka vikali tu ili vyote niuze kwa haraka huku mkoani sijui inawezekana na bei kwa mfano laba za vans huko naweza pata kwa sh ngapi ili nami nijue ntapataje faida
 
mkuu
mkuu me nahitaji niwe nanunua laba.za kiume sio kwa belo sitaki malonya nataka vikali tu ili vyote niuze kwa haraka huku mkoani sijui inawezekana na bei kwa mfano laba za vans huko naweza pata kwa sh ngapi ili nami nijue ntapataje faida
kwa kimoja unaweza pata adi vans ya 12000 yan mpya kama ila sasa unategemeana na location status ya uliyonunuliaa bidhaa
 
kwa kimoja unaweza pata adi vans ya 12000 yan mpya kama ila sasa unategemeana na location status ya uliyonunuliaa bidhaa
mkuu naona kwa hiyo bei ipo poa sasa utumaji ndo ishu pia sijui inatakiwa niwe na.sh.ngapi mkuu yakutuma
 
Mkuu embu ntoe ushamba. Inaweza kulipa kwa njia ya kawaida either kuwatumia pesa kwa dhl??
Dhl sidhan mana wanasafirisha kwa bei kubwa kidogo pengine sawa na bei ya bidhaa....ila wana free shipping japo inachukua muda kufika 10-20 posta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom