MloganzilaNi wapi wanafanya semen analysis kwa hapa Dar, nikiweza kujua pia bei yake mtakuwa mmenisaidia sana.
Tafadhali wadau, naomba msaada wenu.
Shukrani mzee baba nitajaribu wikiendi hii make nahis hali s shwar
Ndyo boss make m nilizaliwa na pumbu moja
33yrs boss nimejaribu naona hola sasa nataka nikapime nione tatizo nini ilijipange nijue wapi pa kuanzia
Umeoa33yrs boss nimejaribu naona hola sasa nataka nikapime nione tatizo nini ilijipange nijue wapi pa kuanzia
Nimeoa boss tyr kwa bahat mbaya mke anafanya kaz mkoan na mm niko dar kikaz hivyo tunakutana mara chache sana