Wapi twendeni vacation kwa muda

Wapi twendeni vacation kwa muda

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,890
Reaction score
828,478
Taifa limechoka liko hoi
Tanganyika iko hoi
Wananchi wamechoka
Waliojiteua wamechoka
Walioua wamechoka
Waliopoteza ndugu zao wamechoka

Waliotoa amri za shoot to kill wamechoka wako hoi hasa
Gen Z wamechoka
Chawa wamechoka
Wezi wamechoka
Mafisadi yamechoka
Wafungwa wamechoka
Wafunga wamechoka
Watengeneza drama wamechoka

Sote tumechoka na Tanganyika iko kwenye mtanziko na mambo hayaendi

Kitakachopatikana kwenye ZAhabu tujipoze nacho kwanza! Tugawane tukanyweshee mioyo sehemu tulivu nchi za mbali pengine tukirudi tutakuwa sawa😂
1769743339469.jpg
 
Hata ukisafiri nje haisaidii kitu kabisaa zaidi zaidi unakutana na watu wanakuuliza unatoka wapi ukiwajibu Tanzania wanakuonyesha video kwenye simu zao hii ni nini unabaki kuongea vitu visivyoeleweka maana jamaa wa Nje yale matukio wanajua wote tunahusika tulio hai..
 
Hata ukisafiri nje haisaidii kitu kabisaa zaidi zaidi unakutana na watu wanakuuliza unatoka wapi ukiwajibu Tanzania wanakuonyesha video kwenye simu zao hii ni nini unabaki kuongea vitu visivyoeleweka maana jamaa wa Nje yale matukio wanajua wote tunahusika tulio hai..
Hata ukisafiri nje haisaidii kitu kabisaa zaidi zaidi unakutana na watu wanakuuliza unatoka wapi ukiwajibu Tanzania wanakuonyesha video kwenye simu zao hii ni nini unabaki kuongea vitu visivyoeleweka maana jamaa wa Nje yale matukio wanajua wote tunahusika tulio hai..
Basi twendeni ambako hakuna watu
 
Hata ukisafiri nje haisaidii kitu kabisaa zaidi zaidi unakutana na watu wanakuuliza unatoka wapi ukiwajibu Tanzania wanakuonyesha video kwenye simu zao hii ni nini unabaki kuongea vitu visivyoeleweka maana jamaa wa Nje yale matukio wanajua wote tunahusika tulio hai..
kwani lazima useme umetoka tz ama hao wanaokuuliza wanakuwa wamekushikia pistol kichwani I'm just asking
 
kwani lazima useme umetoka tz ama hao wanaokuuliza wanakuwa wamekushikia pistol kichwani I'm just asking
Kwa sisi watu wa utalii ni lazima uitangaze Kampuni yako na kuwaambia maeneo ya kutembelea mbuga zetu na kupanda mlima kwa hiyo hauwezi kuwaambia tofauti na Nchi yako..
 
Nadhani hata tukienda mbugani wanyama watatukimbia.. Unajua wana silika za hisia
Wanyama wana hisia ya hatari ukipakia mashoga ukaenda nao porini hiyo gari itakimbizwa na Tembo guide wenzio watajua umepakia nini.
 
Hizo marumaru wanazouza zitaishia mifukoni tu mwa vitambi vya mbogamboga wameona tumesanuka wameanza kupindisha maneno mara zimejaa zinataka kupasua chumba hivyo tunapunguza yaani utoporo mtupu.
 
Back
Top Bottom