Emagine ndio nini?kwanza ulipaswa kuwapongeza walimu hao unaowaita wa kayumba!kwanza walimu wengi wamesoma vyuo vya serikali na ndio hao hao wanaofundisha huko unaposifia-tofauti ni mazingira ya kazi,shule nyingi za private zinategemea walimu wa serikali