Wapi Sam Mahela

Carpensis

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
563
340
Ni muda mrefu sasa umepita mtangazaji mahiri ITV hajaonekana hewani naomba kufahamishwa yupo wapi kipindi chake cha dk 45 ITV jumatatu hakiswii kama ilivyo ada
 
hivyo yule jamaa nae ni wa kaskazini?
maana mwonekano wake sijawahi kuuelewa,pia anajipaka mkorogo yule,maana kuna kipindi alienda kuripoti uchaguzi kenya,alivyorudi nikashangaa jamaa kabadirika rangi...
 
Back
Top Bottom