Ni muda mrefu sasa umepita mtangazaji mahiri ITV hajaonekana hewani naomba kufahamishwa yupo wapi kipindi chake cha dk 45 ITV jumatatu hakiswii kama ilivyo ada
hivyo yule jamaa nae ni wa kaskazini?
maana mwonekano wake sijawahi kuuelewa,pia anajipaka mkorogo yule,maana kuna kipindi alienda kuripoti uchaguzi kenya,alivyorudi nikashangaa jamaa kabadirika rangi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.