Napenda kufahamu ni wapi nitapata technical secondary schools ya serikali au binafsi nzuri na ni active? Nataka kumpeleka kijana wangu akaanze form one mwakani 2016.
Napenda kufahamu ni wapi nitapata technical secondary schools ya serikali au binafsi nzuri na ni active? Nataka kumpeleka kijana wangu akaanze form one mwakani 2016.
kupata shule ya serikali mbaka achaguliwe japo bongo ukijiongeza anaweza kuingizwa kwa mishe akasoma za private ziko japo sio nyingi najua moja hv iko mkoa wa Mara iko fresh jina nimesahau