Wapi ntapata compound bow

Kodo dyako

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2025
Posts
321
Reaction score
387
Kuna upinde unaitwa Compound bow..ni mzuri na una nguvu...ikizingatiwa kwamba vibaka ni wengi na waporaji..ili siki mtu akiingia dukani kwangu kwa kigezo cha kuandamana nimsalimie ...hivyo nikataka kujua kwa jiji la Dar es Salaam wapi naweza kupata aina hiyo ya upinde...Natanguliza shukrani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…