kabwigwa
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 933
- 1,541
Ishu ya wabongo na Africa kwa ujumla ni uchafu vyooni.Hivyo vyoo vya kukaa US na Ulaya ndio vyoo vyao.Wenzetu usafi wa vyoo wanazingatia sana.Tatizo letu ni uchafu tu.Binafsi napenda choo cha kukaa unakua comfortable.Imagine una harisha zile movement za toilet kuchuchumaa kila saa unateseka but kikiwa cha kukaa unakua comfortable.

