Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 11,522
- 20,339
Vijijini.hivi mbegu zake zinapatikana wapi hasa kwa hapa nchini
Ngoja tusubiri wadau waje watupe muongozohivi mbegu zake zinapatikana wapi hasa kwa hapa nchini
Mkoani Kagera, Kigoma unavipata mzee...hivi mbegu zake zinapatikana wapi hasa kwa hapa nchini
Kumekucha, kuelekea uchaguzi. Tangu lini asali niijuayo ikawekwa ndani ya kibuyu! Mshana Jr tusaidie kumtambua huyu mtu.Wakuu sana nina shida na vibuyu. Nataka kuwekea vinywaji mbalimbali. Vinegar, Asali, divai nk. Nahitaji ambavyo havijafunguliwa. Vikipatikana vile vyenye kiuono itakuwa safi zaidi. Wapi vinapatikana kwa wingi? Kuna wakulima wa vibuyu?
View attachment 3025505
View attachment 3025506
View attachment 3025507
View attachment 3025508
View attachment 3025509
View attachment 3025511
Kwa wauza madawa sidhani kama naweza pata ambavyo havijafunguliwa.Viko vingi sana havikosekani katika mnada, Madawa ya sunna, masokoni
Hapana,, huyu ana interest na vitu vya cultureKumekucha, kuelekea uchaguzi. Tangu lini asali niijuayo ikawekwa ndani ya kibuyu! Mshana Jr tusaidie kumtambua huyu mtu.
Soko kuu huvikosi.. Uko mkoa gani?Kwa wauza madawa sidhani kama naweza pata ambavyo havijafunguliwa.