Wapi nitapata shockup za mbele za mazda demio..

Wapi nitapata shockup za mbele za mazda demio..

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
15,982
Reaction score
36,585
Wadau nitapata wapi hizi shockup na bei yake ikoje?

Natanguliza shukrani!!
 
Mtu asikudanganye vifaa vya mazda ni ngumu sana kuvipata Tanzania labda kama una mtu Nairobi au labda kama kuna mtu humu anaweza kukusaidia humu ndani huwa kuna watu wenye moyoni wa kusaidia sana
 
Mazda Demio kwa Tanzania spare bado ni changamoto. Nairobi zipo za kutosha.
 
Duka la spares za Mazda lipo Tabata Matumbi kwa Dar. Wiki kadhaa zilizopita rafiki yangu alibadili shockup za Demio za mbele kwa laki 4.
Poa mkuu asante...
 
Naomba anayeweza kunisaidia kupata shock za Jeep predator au commander nimezitafuta kwa muda mrefu hadi nimeiweka gari siitumii nitakushukuru sana jamaa yangu utakayenisaidia hilo.... 0783 656554
 
Naomba anayeweza kunisaidia kupata shock za Jeep predator au commander nimezitafuta kwa muda mrefu hadi nimeiweka gari siitumii nitakushukuru sana jamaa yangu utakayenisaidia hilo.... 0783 656554

Salome

Nenda hapo hapo Tabata Matumbi watakuelekeza duka la spare linaitwa Master Card. Hawa watakusaidia hata ikibidi uagize nje ya nchi.

Best wishes.
 
Asante sana naomba kama upo unisaidie kupata contact zao maana mimi nipo mikoani au uniulizie kwa kwa wenye contact zao asante sana sana
 
Dah haka kagari kaache kama kalivyo shida ni hapa bongo spea zake tu ila ukazipata utasahau mkuu me nnako pia na kananisumbua gear box
 
Back
Top Bottom