Wapi nitapata pamba kama hizi?

Wapi nitapata pamba kama hizi?

Joined
Jun 16, 2019
Posts
14
Reaction score
18
Amani iwe juu yenu..

Nipo mwanza kwa sasa ila ni mgeni kidogo wa hili jiji. Naomba wenyeji mnielekeze maduka ya pamba kali za jeans, cardet, mashati bila kusahau shoes...

Nipo maeneo ya kirumba karibu na police station. Nipeni Location plz

luvanda_clothing_store-20190506-0003.jpeg
luvanda_clothing_store-20190506-0001.jpeg
 
Amani iwe juu yenu..

Nipo mwanza kwa sasa ila ni mgeni kidogo wa hili jiji. Naomba wenyeji mnielekeze maduka ya pamba kali za jeans, cardet, mashati bila kusahau shoes...

Nipo maeneo ya kirumba karibu na police station. Nipeni Location plz

View attachment 1281772View attachment 1281773
MaKoroboi au ilipo kuwa stendi ya tanganyika, utapata hizo na nyingine nyingi. Maduka classic pia utaulizia watakuelekeza kitambo nimetoka mwanza ila pakuanzia ni hapo. Panda gari za kwenda mjini shukia kituo cha kemondo au dampo then nenda mitaa hiyo
 
platoon commander, Nenda mitaa ya uhuru dampo kuna maduka mengii tuu..

Pia pale Tanganyika (wanapokatisha ticket,) kuna maduka ya nguo...

Na makoroboi pia yapo....! Ukikwama nambie nikueleweshe
 
Back
Top Bottom