Wapi nitapata paka wenye manyoya mengi

Kama utamuweka kwenye kiyoyozi sawa,
Maana hao wenye manyoa mengi nafikiri ni mbegu toka nchi za baridi
Sasa kwenye joto la huko naona utakuwa unamtesa tu
 
Kama utamuweka kwenye kiyoyozi sawa,
Maana hao wenye manyoa mengi nafikiri ni mbegu toka nchi za baridi
Sasa kwenye joto la huko naona utakuwa unamtesa tu
Ni kweli ila kama kazaliwa hapa hapa bongo hamna shida kwa kuwa mwili una adopt mazingira.

Tatizo lingekuja kama ingekuwa tumemleta moja kwa moja toka bara za baridi.
 
laki 7 mmoja wakizungu
 

Attachments

  • InShot_20200521_103921550.jpg
    106.5 KB · Views: 10
 
Kuna mbongo mmoja tulikuwa naye Poland wkt fulani tena yeye ndiye Rais wa watanzania hko smbdy sambali, mke wake ni mpolish na ndy biashara yake kubwa.... Ana mijipikaaa anauza bei kweli
Hii biashara inafanyika aise

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…