Wapi nitapata mkopo wa dharura wenye masharti nafuu?

Wapi nitapata mkopo wa dharura wenye masharti nafuu?

frank dux

Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
9
Reaction score
1
Habari zenu wana JF,polen na majukum ya kila siku.mimi ni kijana wa miaka 33,sina ajira rasmi kwa sasa,ila natarajia kuanza kazi tarehe 01/07.lkn bahata mbaya kwa sasa nina uhitaji wa fedha,kiasi cha 600,000 tu.

Hivyo natafuta kampuni/Taasisi/mtu binafsi ili nikope au nikopeshwe hcho kiasi ambacho nitaweza kurudisha kwa muda wa miez miwili kwa instalment mbili na ikiwezana kwa riba nafuu.Naomba nisaidieni jamani.

Nipo tayari hata kuweka dhamana cheti au vyeti vyangu.nahitaji hicho kiasi ndani ya siku tatu.
 
Dhamana yako haijitoshelezi. Vyeti havifai kuwa dhamana kwa ajili ya kusaidiwa Mkopo. What if ukashindwa kulipa hilo Deni!? Je vyeti vinauzika!?

Kwa dhamana uliyonayo, waweza kusaidika kupitia Ndugu wa karibu. Ndio wanaoweza kukukopesha kwa dhamana ya Vyeti na wala sio kwa Mtu/Kampuni wasiokujua kwani vyeti hata uwe na GAmba la Doctorate(PHD) hata uende Bank/Saccos huwezi kuwekea Dhamana ili upewe Mkopo.

Acha nipite, wataalamu wa Mambo ya Credit analysts watakuja watajuze kama Dhamana ya Vyeti inatambulika popote pale hasa kwenye Taasisi za Fedha.
 
Dhamana yako haijitoshelezi. Vyeti havifai kuwa dhamana kwa ajili ya kusaidiwa Mkopo. What if ukashindwa kulipa hilo Deni!? Je vyeti vinauzika!?

Kwa dhamana uliyonayo, waweza kusaidika kupitia Ndugu wa karibu. Ndio wanaoweza kukukopesha kwa dhamana ya Vyeti na wala sio kwa Mtu/Kampuni wasiokujua kwani vyeti hata uwe na GAmba la Doctorate(PHD) hata uende Bank/Saccos huwezi kuwekea Dhamana ili upewe Mkopo.

Acha nipite, wataalamu wa Mambo ya Credit analysts watakuja watajuze kama Dhamana ya Vyeti inatambulika popote pale hasa kwenye Taasisi za Fedha.

Asante ndugu yangu,hivi cwez kutumia hata viji asert vyangu vya ndani kwa ajili ya kupata kamkopo hata kadogo.
 
Back
Top Bottom