Wapi nitapata mayai ya bata mzinga

Wapi nitapata mayai ya bata mzinga

INFAITH

Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
12
Reaction score
5
Mimi ni mjasiriamali ambae nina Incubator ambayo kwa wastani inafyatua vifaranga vya kuku elf 12,600 kwa siku 21, mashine hii inauwezo pia wa kutotoa mayai ya bata mzinga. Nahitaji kujua ni wapi naweza pata mayai ya bata mzinga walau 500?maana nataka kutotoa ili niweze kufuga mimi mwenyewe. Nitashukuru kwa msaada wenu wadau.Namba yangu ni +61405002418.Australia.
 
Mimi ni mjasiriamali ambae nina Incubator ambayo kwa wastani inafyatua vifaranga vya kuku elf 12,600 kwa siku 21, mashine hii inauwezo pia wa kutotoa mayai ya bata mzinga. Nahitaji kujua ni wapi naweza pata mayai ya bata mzinga walau 500?maana nataka kutotoa ili niweze kufuga mimi mwenyewe. Nitashukuru kwa msaada wenu wadau.Namba yangu ni +61405002418.Australia.

nipigie na. 0754290364 kwa mayai na vfaranga vya bata mzinga
 
Haya bei hawataji maana iko tofauti sana ila m pm maana nakumbuka mimi nilinunua ya 7000 nasikia wengine mpaka 10000 wanafika ila kama unahitaji nikuwekee ni pm kwa order ndugu.
Ahsante
 
Back
Top Bottom