Wapi Nitapata Matofali haya??

Wapi Nitapata Matofali haya??

Wadau nina shuda sana na Matofali ya namna hii, kwa mwenye ujuzi anijuze tafadhali. Haijalishi yapo mkoa gani, Cha muhimu ni upatikanaji na bei...View attachment 37892

vipi ulishapata haya matofari , nauliza unafahamu kama kuna upatikanaji wa matofari ya kuchoma bagamoyo na ni bei gani? nina site yangu makurunge bagamoyo je kuna mtu anaweza kunisaidia ni wapi nitapata matofari ya kuchoma?? na pia naomba kuuliza mtu mwenye ujeuzi nina heka 5 za shamba huko bagamoyo na nitataka kujenga fence je unadhani fence ya matofari ni rahisi au kuna njia nyingine ya kujenga fence ambayo ni rahisi ??nafikia tofari za kuchoma naweza afford kama zinapatikana ,asante.
 
Nenda Msamvu Mororgoro ukiwa unaingia mjini kabla ya stendi ya mabasi ya Mikoani, mkono wako wa kulia ukiwa watokea Dsm
 
. . .inategemea na aina ya ujenzi, kuna mdau ana mashine za inter-lock blocks,tofali ziungwazo bila 'mortar', mahali popote tanzania atakufikia...tofali moja '4 * 6 * 12 ',
 
Hongera kwa kupata mwamko wa kutumia mali ghafi bora na rahisi inyopatikana sehemu nyingi. Matofali ya aina hii yanaweza kufyatuliwa kwa kutumia udongo wenye madini ya iron na clay (Ruvuma, Rukwa, Geita, Njombe etc), na mafundi wa kuyafyatua wanapatikana Songea, Sumbawanga, Mbozi, Tunduma na Makambako. Nenda pale maeneo ya nyuma ya mlimani city kama uko Dar ukajionee nyumba zilizojengwa kwa tofali hizi, au pitia Vawa Mbozi, Laela Sumbawanga kote utaona nyumba zimejengwa kwa tofali za rangi na aina hiyo. Anza kuchakarika ndugu, ushauri nimekupa.
Tatizo kubwa ya matofali haya ni kwamba they are cured by cutting and burning lots of trees...
 
Tatizo kubwa ya matofali haya ni kwamba they are cured by cutting and burning lots of trees...

You are right,they use a lot fuel,but this is due to improper design of the kiln.We have a plant at Lushoto,used to belong to the Government,using Germany Clay extruder.They have high compressive strength and baked to required temperature,tofauti ukilinganisha na ya kupiga kwa kibao ya hapo Msamvu na kwingineko.
 
Hizi tofali ziko za Size mbili
1./ 9x6x4.5 inches, Shs 360
2./ 4x3x2 inches, Shs 180
 
Hongera kwa kupata mwamko wa kutumia mali ghafi bora na rahisi inyopatikana sehemu nyingi. Matofali ya aina hii yanaweza kufyatuliwa kwa kutumia udongo wenye madini ya iron na clay (Ruvuma, Rukwa, Geita, Njombe etc), na mafundi wa kuyafyatua wanapatikana Songea, Sumbawanga, Mbozi, Tunduma na Makambako. Nenda pale maeneo ya nyuma ya mlimani city kama uko Dar ukajionee nyumba zilizojengwa kwa tofali hizi, au pitia Vawa Mbozi, Laela Sumbawanga kote utaona nyumba zimejengwa kwa tofali za rangi na aina hiyo. Anza kuchakarika ndugu, ushauri nimekupa.
Umesahau Tukuyu mkuu.
 
Back
Top Bottom