Hongera kwa kupata mwamko wa kutumia mali ghafi bora na rahisi inyopatikana sehemu nyingi. Matofali ya aina hii yanaweza kufyatuliwa kwa kutumia udongo wenye madini ya iron na clay (Ruvuma, Rukwa, Geita, Njombe etc), na mafundi wa kuyafyatua wanapatikana Songea, Sumbawanga, Mbozi, Tunduma na Makambako. Nenda pale maeneo ya nyuma ya mlimani city kama uko Dar ukajionee nyumba zilizojengwa kwa tofali hizi, au pitia Vawa Mbozi, Laela Sumbawanga kote utaona nyumba zimejengwa kwa tofali za rangi na aina hiyo. Anza kuchakarika ndugu, ushauri nimekupa.