Wadau naombeni mnijulishe wapi nitapata mashine za kufyatua tofali kwa kutumia clay soil. Nataka portable machine zenye kutumia engine ya diesel.
Naomba kama mnipe na bei pia wenye kufahamu. Mi nipo dar es salaam.
<br />Nenda ofisi za sido Upanga, au kitengo cha wizara ya ardhi cha ujenzi wa nyumba bora, wapo mandela, mwenge nyuma ya maduka yaliyopo kwenye mzunguko wa kwanza wa magari ukitokea bagamoyo road kwenda ubungo.