Andaa 3mWakuu kwema?
Nina mpango wa kuanzisha biashara ya kuuza matofali ya block
Kwa mwenye uzoefu ni maahine gani nzuri na zinapatikana wapi na bei zipoje?
Nawasilisha
Kwa hiyo aache hadi umeme wa Bongo utakapokuwa kama ulaya?Kwa umeme huu wa BONGO!
Labda awe na jeneretaKwa hiyo aache hadi umeme wa Bongo utakapokuwa kama ulaya?
Ndo ulitakiwa kumta solution mwanzo kwenye comment ya awaliLabda awe na jenereta
Hiyo machine itakuwa expensive na inaweza isimlipe. Bora ananunua mechanical itamfaa zaidiNdo ulitakiwa kumta solution mwanzo kwenye comment ya awali
nadhani mhusika amezingatia ushauri huuHiyo machine itakuwa expensive na inaweza isimlipe. Bora ananunua mechanical itamfaa zaidi
Hiyo machine itakuwa expensive na inaweza isimlipe. Bora ananunua mechanical itamfaa zaidi
Nilikuwa najaribu kuwaza tu yale matumizi ya umeme ambao utakuwa unahitajika kwa kazi hiyo; ni intution yangu tu lakini, ila sina uzoefu wowote katika hili!Hii Inakuwa vipi mkuu?