MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,107
- 4,604
tembelea kitunda.Watu wa kanda maalum, nina arosto sana na kichuri, yaani koo limekauka, nakula sishibi hii yote ni kutokana na kumiss sana kile chakula chetu pendwa yaani kichuri.
Kwa anaejua naomba anielekeze wapi naweza pata kichuri kizuri nikasuuza roho.
Msiojua mpite kushoto.