sawa chif ila online kununua siwezi,vp waweza kunisaidia!?
mkuu nmepakua hili game ila kila nikijaribu kuinstall nashindwa shida itakuwa nini?
Kwa bahati mbaya aliyekushauri aliyekuandikia Link hajazingatia haya angalia system Requirements hilo linahitajimkuu nmepakua hili game ila kila nikijaribu kuinstall nashindwa shida itakuwa nini?
Kama huna 2gb fungua youtube uangalie tu hata ukia na 128 mb utaliona tuu ila huta chezaKwa bahati mbaya aliyekushauri aliyekuandikia Link hajazingatia haya angalia system Requirements hilo linahitaji
OS Window 7, 8.1, Vista na XP
RAM 2GB
Processor dual Core 2.4 GHz
Space 2GB
umekwama step ipi?mkuu nmepakua hili game ila kila nikijaribu kuinstall nashindwa shida itakuwa nini?
Nmeidownload tayari ila nikijaribu kuifungua setting ili niinstall inagomaumekwama step ipi?
inasemaje mkuu bila kuniambia unachokiona itakuwa ngumu kujua tatizo lilipoNmeidownload tayari ila nikijaribu kuifungua setting ili niinstall inagoma
inasemaje mkuu bila kuniambia unachokiona itakuwa ngumu kujua tatizo lilipo
Mashine nnayotumia inatumia ni windows 10, ram 4gb na ni 64bitsKwa bahati mbaya aliyekushauri aliyekuandikia Link hajazingatia haya angalia system Requirements hilo linahitaji
OS Window 7, 8.1, Vista na XP
RAM 2GB
Processor dual Core 2.4 GHz
Space 2GB
mkuu umeona hio pic ya kwanza? shuka chini utaiona setupMashine nnayotumia inatumia ni windows 10, ram 4gb na ni 64bits
Mkuu hakuna setup, afu picha ya nne ipi? maana mm nimepost tatu tumkuu umeona hio pic ya kwanza? shuka chini utaiona setup
hio picha ya nne ni crack ukisha install vicopy hivyo halafu kavipaste folder la game
Au mkuu naomba unipatie link nyengine nidownload upya maana rengo kuna ambalo ninalo sasa nililifuta lile sababu siwezi kuadd modsmkuu umeona hio pic ya kwanza? shuka chini utaiona setup
hio picha ya nne ni crack ukisha install vicopy hivyo halafu kavipaste folder la game
picha ni ya tatu sio nneAu mkuu naomba unipatie link nyengine nidownload upya maana rengo kuna ambalo ninalo sasa nililifuta lile sababu siwezi kuadd mods