Wapi nitapata duka la simu za Xiaomi

Wapi nitapata duka la simu za Xiaomi

Joined
Feb 27, 2018
Posts
11
Reaction score
7
Wakuu habari zetu?

Nahitaji kubadilisha cover la simu yangu aina ya Xiaomi note4 lakini nimezunguka maduka mengi ya simu Posta na baadhi Kariakoo sijafanikiwa kupata duka linalouza simu aina hiyo.Wengi nikifika na kuuliza wanashangaa jina la simu.Nilijaribu pia kupata cover la kufoji sijafanikiwa.

Anayefahamu naomba anisaidie.
 
Mtafute Mwl RCT humu JF atakuhudumia.



Namba yake+255784496856
 
Wakuu habari zetu?

Nahitaji kubadilisha cover la simu yangu aina ya Xiaomi note4 lakini nimezunguka maduka mengi ya simu Posta na baadhi Kariakoo sijafanikiwa kupata duka linalouza simu aina hiyo.Wengi nikifika na kuuliza wanashangaa jina la simu.Nilijaribu pia kupata cover la kufoji sijafanikiwa.
Habari Mama Afrika halisi
Hazipatikani hapa nchini kiurahisi.
Huwa tuanaagiza moja kwa moja toka china.
Kwa wanaJF huwa wanatumia hii thread kufanya order za simu aina ya XIAOMI
Mfano hai wa order ni huu pichani
upload_2018-6-1_13-54-33.png

upload_2018-6-1_13-52-49.png


Hivyo basi fuata taratibu hizi

1. Soma maelekezo hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

2. Tafuta simu unayohitaji toka hapa : Buy Products Online from China Wholesalers at Aliexpress.com

3. Nipatie link ya simu husika kupitia PM au kwakundakia kwenye thread husika au kwa kuniandikia whatsap { Whatsapp # na mawasiliano mengine nimeweka hapa }

4. Baada ya kunipa link; Nitakupa ghalama ya kukufikishia simu hapa DAR

5. Utafanya malipo; Malipo yote yanapitia bank; Maelezo zaidi yako kwenye thread husika.

6. Then utapewa tracking number ; Kawaida huwa ndani ya siku mbili.
upload_2018-6-1_14-6-44.png


7. Utatumia tracking number kufuatilia mzigo wako hadi utakapo ingia nchini.

8. Baada ya mzigo kufika nchini utajulishwa ili uje kuchukua au utumiwe mahala ulipo kama nupo nje ya mkoa wa Dar

KARIBU
 
Wakuu habari zetu?

Nahitaji kubadilisha cover la simu yangu aina ya Xiaomi note4 lakini nimezunguka maduka mengi ya simu Posta na baadhi Kariakoo sijafanikiwa kupata duka linalouza simu aina hiyo.Wengi nikifika na kuuliza wanashangaa jina la simu.Nilijaribu pia kupata cover la kufoji sijafanikiwa.

Anayefahamu naomba anisaidie.
Nina back case & protector check mi on WhatsApp 0718628657
 
Ahsanteni sana wadau, nitawasiliana na wahusika hapo mliowapendekeza naimani nitafanikiwa . Shukrani kwanu msauzy, mwl RCT na Msukuma.com
 
Back
Top Bottom