Ahmad Mussa
Member
- Oct 21, 2011
- 46
- 19
Wakuu nina shida ya Vifaranga, au bata mzinga pia ndege wengine wafugwao
majumbani lakini si Kuku,Kanga na bata wa kawaida. Wapi naweza kuwapata
na bei zao zikoje?
majumbani lakini si Kuku,Kanga na bata wa kawaida. Wapi naweza kuwapata
na bei zao zikoje?