Wapi nitapata Bata Mzinga?

Ahmad Mussa

Member
Oct 21, 2011
46
19
Wakuu nina shida ya Vifaranga, au bata mzinga pia ndege wengine wafugwao
majumbani lakini si Kuku,Kanga na bata wa kawaida. Wapi naweza kuwapata
na bei zao zikoje?
 
Wakuu nina shida ya Vifaranga, au bata mzinga pia ndege wengine wafugwao
majumbani lakini si Kuku,Kanga na bata wa kawaida. Wapi naweza kuwapata
na bei zao zikoje?
Ni DM mkuu, Nikuunganishe na mtu anayefuga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom