ndugu yangu nimetafuta ofisini kwao na kwa mawakala wao zimeisha kwahiyo kama kuna sehemu unajua zipo naomba unielekeze
wakuu naombeni msaada wenu sehemu ninayoweza pata moderm ya zantel kwa hapa Dar.
wakuu naombeni msaada wenu sehemu ninayoweza pata moderm ya zantel kwa hapa Dar.
wakuu naombeni msaada wenu sehemu ninayoweza pata moderm ya zantel kwa hapa Dar.
wana jf napenda kutoa shukrani zangu kwa msaada wenu,nimepata moderm ya zantel niliyo kuwa nahitaji tena bure kabisa.shukrani za dhati zimwendeye bwana LEGE.mkuu nitafute mm nipo dar ninayo siitumii nitakupa bureee kabisaa kwa heshima ya jf.
Ww garama yako ni kuja tu maeneo ya mwenge karibu na msikitini ndio napopatikana .ni pm mkuu nikupe contact zangu
wana jf napenda kutoa shukrani zangu kwa msaada wenu,nimepata moderm ya zantel niliyo kuwa nahitaji tena bure kabisa.shukrani za dhati zimwendeye bwana LEGE.